Uvaaji wa mavazi haya ni ulimbukeni wa kiwango cha juu sana

hahaha north korea ambako jamaa anafuta xmass anataka nchi nzima iazimishe siku ya kuzaliwa bibi yake, hicho ndo unaona ni bora akili zako unazijua mwenyewe
 
Biblia ina siri kubwa sana
Umejuaje kama kuna siri...??? Ni siri gani..??

kama huna mwongozo wa ROHO MTAKATIFU huwezi kuelewa kitu.
Kwanini unampa zigo Riho Mtakatifu...?? Biblia ipo wazi tuu....haina siri yoyote....biblia ipo ili umjue Mungu, umtumikie na kisha ufike kwake....Hayo mengine ni yako..

Kila kitu kimeandikwa kwenye Biblia, mpaka mwezi aliozaliwa MESSIAH,
Sasa wewe uliyeona nimekuomba unipe hiyo tarehe na mwezi....Hebu na sisi tujuze ...wewe si unajua hiyo siri....tujuze..

sema sababu ninyi ni vipofu ndiyo maana hamwoni. Rudia kusoma kwa makini na utulivu huku ukiomba MUNGU akupe akili za kuelewa na akufungue macho utaona kila kitu. Kwa kukusaidia LUKA ameandika kila kitu.

Unashindwa nini kutupa hiyo tarehe....Wacha ubabaisha mjinga wewe...Msabato usiye na akili
 
Tutabishana sana hapa lakini ukweli ni kwamba Emperor Constantine alikuwa ni wakala wa Ibilisi. Tena yeye naweza sema alikuwa ndiyo "papa" wa kwanza. Historia mnayofundishwa Wakatoliki imechakachuliwa ili kuuficha UKWELI. Ikiwa mnaweza kuichakachua BIBLIA mtashindwaje kuchakachua historia yenu wenyewe???

Lakini kama unaelewa KIINGEREZA vizuri hebu soma hicho kifungu kidogo cha historia ya Emperor Constantine;

While we are told the first “Pope” was the disciple Peter (Peter never kept Sunday/Easter/Christmas nor did he believe in a Trinity God) it was actually Emperor Constantine. Constantine held the title “Pontifex Maximus” which literally means “High Priest” of the sun god Zeus/Apollo (Greek incarnations of Nimrod/Tammuz). He was the High Priest of his god Apollo also known as Mithra the sungod. Apollo and Mithra are just other name for Nimrod/Tammuz that evolved out of ancient Babylon as the languages were confused at the Tower of Babel. Constantine’s religion was called The Cult of Sol Invictus which means the Cult of the Invincible Sun. Constantine was a sun worshipper as the religion of Babylon was literally transplanted to Rome. I covered that in my last book and again in both The Kingdom of YHVH and The Yahushaic Covenant.

The Pope of Rome to this day holds the same title of Pontiff and to this day worships the same sungod. This “Roman religion” is known as The Cult of Sol Invictus or The Cult of the Invincible Sun. The Cult of Sol Invictus dates back to the Babylonian religion created by Semiramis defined in my book Mystery Babylon – The Religion of the Beast..

History records that Constantine became the first “Christian” Emperor of Rome and played a major role in converting the pagan Roman Empire to “Christianity”. This is actually true. The religion of Christianity was actually created by the Roman Emperor and High Priest of Apollo. This religion created by Constantine was nothing new, it was the exact same religious system dating back to Babylon and the same religion Constantine worshipped before and until his death… sun worship. Constantine was a follower of Christos Mithra whose followers were known as Christians. It was identical in every way to worship of the stars (Sun/Moon/Planets) that originated in Babylon.

Christians today claim that “God” came to Constantine in a “vision” of a “cross” and Constantine converted to a servant of Jesus Christ. Well actually this is true, sort of. Actually Constantine just renamed Tammuz/Apollo/Mithra to “Jesus” and converted the world to his existing religion as history proves. As the “legend” goes, Constantine was on his knees worshipping the Sun facing East (as sun worshippers do) and saw a vision of the cross of Tammuz and was told “in this sign conquer”. “Conquering” humanity through force and converting by threat of death… is the total opposite of the Messiah’s Message of evangelism through love and regeneration through faith. Constantine then went on to conquer the known world for his god Tammuz which he created at the Council of Nicaea and called Jesus H. Christ. He did so through MUCH bloodshed and converted through the threat of death (the inquisition). There is zero chance that Constantine was a true believer we know this because of his fruit. We also know this because his coins remained inscribed “dedicated to the Invincible Sun” until his death.



Historical Background of The Emperor Constantine

After the death of Constantine’s father, his brother Maxentius was in line for the throne and stood in the way of Constantine. On 312 A.D., on October 28th at Stone Milvian Bridge at the Tiber River, Constantine’s army was greatly outnumbered as it was arrayed in battle against the army of Maxentius. It was then, while Constantine bowed before the Sun in worship to Baal, he saw a “cross” and heard a voice “in this sign conquer”. As I stated before in my book The Mystery Religion of Babylon the “cross” was the universal sign of Tammuz a cutout of the center of The Zodiac. So it is no surprise Constantine while bowing to the sun saw the Cross of Tammuz… that was his religion.

This command he heard to go forth and conquer was the same expression used in Revelation 6:2 of the rider on the white horse that goes out to conquer and to conquer (an image of the False Messiah). Constantine went forth from that point and conquered the pagan world through his new religion and much bloodshed.

Revelation 6:2

And I saw, and behold a white horse: and he that sat on him had a bow; and a crown was given unto him: and he went forth conquering, and to conquer.

We see above that this rider went forth with a crown (an Emperor) and a bow (the symbol of Nimrod/Tammuz the great hunter) to conquer. The exact historical image of Constantine (the founder of Christianity). This same “bow” is carried to this day by the subsequent “Pontifex Maximus” the Pope of Rome. It is a “bowed cross” and the staff of the Pope. The Pope literally wears a two horned Mitre (two horns like a goat) on his head carrying about a cross in the shape of a bow. On top of this staff is the cross of Tammuz with the image of the false messiah renamed Hesus Horus Krishna (Jesus H. Christ) or latin I.H.S. This false messiah is none other than Tammuz the pig of Ishtar in name and sacrifice.......
Son of Gamba, Maelezo hayo hayajitoshelezi kueleza juu ya Costantine,mwandishi anasema kama alivyoandika kwenye kitabu chake. Jua kila mtu awezakuandika atakavyo. Hata mwandishi wa hadithi za sungura na fisi kuongea aweza kurefer Vitabu vyake. Pia naomba kuuliza,unaamini uwepo Wa Mungu Wangapi? Je Mungu ni nini?
 
Do what makes u happy na legal mjomba,mbona unataka fanya maisha ni kama vita?hata kama ni kwel ulichoongea,hii ishakua custome n watu wanapenda,waache,.take life easy
 
Kwani xmass ni nn? Ktk UKRISTO tuanzie hapo,,,, naona mapovu yamewatoka baada ya mtoa mada kupiga pabaya,,, na Kuna uhusiano gani na BABU LENYE MIDEVU NA UKRISTO,, na ni wapi kwenye BIBLIA yesu alukula xmass,,,
 
Tena Australia kwa mwezi huu Dec kuna joto la level nyingine kabisa....anasemaje kuhusu wakina Mama wanaovaa zile nguo nyeusi tiii zikiwafunika hadi kope za macho na wanapita Kariakoo na jua kali la nyuzi joto 40?
Anasemaje kuhusu uvaaji wa suti nzito wakati Dar kuna joto kali kabisa?
Ndugu .....hizi ni tamaduni za watu tu...tume kopi na tukubaliane kutokubaliana....kila mtu ana imani yake.Shika yako,waachie yao.
Hao kinamama wanajifunika hawa kuhusu wanaficha pipi zao ongea ongea mkeo/mamako/dadako wanavaje wanaficha au hawafichi pipi zao?
 
Hata wale wanaovaa hijab na sijui nikabu na kuficha sura kama maninja wanakera kwakweli, yaani joto la Dar au Mtwara unakuta li janamke limejivika madudu meusi mpaka nyayoni. Kuiga kuiga
Hawa wanaovaa hujibu hawakuhusu wanaficha pipi zao ongea mkeo /mamako /dadako wanavaaje wanaficha pipi zao au wanazitembeza wazi
 
Kwani xmass ni nn? Ktk UKRISTO tuanzie hapo,,,, naona mapovu yamewatoka baada ya mtoa mada kupiga pabaya,,, na Kuna uhusiano gani na BABU LENYE MIDEVU NA UKRISTO,, na ni wapi kwenye BIBLIA yesu alukula xmass,,,
Ndugu kamwe hawawezi kujibu hilo. Maana wameacha Neno la Mungu na kukubali kulishwa matango pori. Krisimasi ni desturi za kipagani tangu enzi za babeli hadi rumi. Mfalme Constantine wa kirumi ndiye aliyeleta ushenzi huu kanisani. Kanisa katoliki ni upagani wa kiwango cha juu.
 
Aina hii ya mavazi huvaliwa Ulaya na Amerika ya kaskazini kipindi hichi cha mwaka kwa sababu ya baridi kali na barafu inayodondoka huko. Kichekesho ni pale unapomwona mtu mzima na akili zake amevaa mavazi haya hapa Dar huku joto likiwa kali kiasi kwamba wewe uliyevaa T-shirt tu unatamani kuivua utembee kifua wazi.

Huu ni ulimbukeni wa kiwango cha kupitiliza, hata Wazungu waliobuni aina hii ya mavazi wakiona mtu amevaa mavazi haya huku kwetu na joto lote hili la Dar huwa wanacheka sana, wanatudharau sana na kutuona bado sana sisi ni watumwa wa fikra.


View attachment 656653 View attachment 656654 View attachment 656655

Kuna watu watatetea ulimbukeni huu kwa kisingizio cha sikukuu ya X-mass ambayo nayo ni upagani tu wala haina maana yoyote katika dini ya KWELI ya KIKRISTO. Na wengine watasema ni namna ya kuvutia biashara; lakini bado haileti maana hata kidogo. Nasema haileti maana sababu hakuna uhalisia wowote ule wa kuvaa nguo kama hizi sana sana anayevaa anageuka kuwa kituko kwa wale wanaoelewa maana ya mavazi haya.

Kwa akili hizi sisi Waafrika tutabakia kuwa watumwa wa Wazungu mpaka siku ile BWANA YESU atakaporudi tena kwa mara ya pili. Kwa akili hizi ndio maana Wazungu wanatuibia madini yetu mpaka na mchanga pia wanachukua na kusafirisha kwenda kwao tena tukiwasindikiza sisi wenyewe mpaka uwanja wa ndege na bandarini huku tukiwalinda na silaha nzito, na wao kutuachia mahandaki matupu.

Ningekuwa mimi ni Rais wa nchi hii ningepiga marufuku kabisa aina hii ya ulimbukeni kama alivyofanya Rais wa Korea ya Kaskazini Kim Jong-un; amesema hataki kabisa kuona raia wake wanasheherekea X-mass ama wanajihusisha na tamaduni zozote zinazoambatana na sherehe hizi za kipagani zilizoanzishwa na Wazungu wa Rumi.
Pambana Na Hali yako
 
Ndugu kamwe hawawezi kujibu hilo. Maana wameacha Neno la Mungu na kukubali kulishwa matango pori. Krisimasi ni desturi za kipagani tangu enzi za babeli hadi rumi. Mfalme Constantine wa kirumi ndiye aliyeleta ushenzi huu kanisani. Kanisa katoliki ni upagani wa kiwango cha juu.
Kitaja,nachoamini,kila jambo lina malengo,mfano Catholics,walitumia sikukuu ya kipagani iliyokuwa mapokeo ya wakati huo ili kuwapata watu hao na kuwabadili kuwa Wakristu,hiyo haimaanishi wakatoliki ni wapagan,kama vile America ilivyomtumia Hellen G. White kuanzisha kanisa la matazamio "Adventist church" ili kupunguza nguvu ya madhehebu yaliyotoka ulaya,hii haimaanishi kuwa America ni Adventist,ama kama sasa America anavyotanua himaya yake Asia kwa kuitambua Jerusalem,vita itakayofuata Na matokeo yake yatakayopanua Ukristu na kudunisha baadhi ya Imani kwa Asia Na sehemu kubwa ya dunia,hakumanishi America ni Ukristu. Kama ilivyo 1+1 imukiwa sawa Na mbili katika arthymetic Na watu hawakufundishwa kuhoji ndiyo sawa Na elimu za Imani za dini ,watu hawakufunfishwa kuhoji hata huko. Watu wengi wamekuwa waovu sana wakidhani wanatenda mema mbele za Mungu kwa kuwa hodari Wa kuta aina ya maisha waliyoishi watu nyakati za adamu hadi Yesu huku matendo yao yakiwa kinyume kabisa na ustadi wa maneno yao.
 
Tatizo umeshindwa kutofautisha materials yaliotumika kwenye haya mavazi. Angalia vizuri materials utagundua tofauti kubwa japo vazi ni aina moja.
 
Aina hii ya mavazi huvaliwa Ulaya na Amerika ya kaskazini kipindi hichi cha mwaka kwa sababu ya baridi kali na barafu inayodondoka huko. Kichekesho ni pale unapomwona mtu mzima na akili zake amevaa mavazi haya hapa Dar huku joto likiwa kali kiasi kwamba wewe uliyevaa T-shirt tu unatamani kuivua utembee kifua wazi.

Huu ni ulimbukeni wa kiwango cha kupitiliza, hata Wazungu waliobuni aina hii ya mavazi wakiona mtu amevaa mavazi haya huku kwetu na joto lote hili la Dar huwa wanacheka sana, wanatudharau sana na kutuona bado sana sisi ni watumwa wa fikra.


View attachment 656653 View attachment 656654 View attachment 656655

Kuna watu watatetea ulimbukeni huu kwa kisingizio cha sikukuu ya X-mass ambayo nayo ni upagani tu wala haina maana yoyote katika dini ya KWELI ya KIKRISTO. Na wengine watasema ni namna ya kuvutia biashara; lakini bado haileti maana hata kidogo. Nasema haileti maana sababu hakuna uhalisia wowote ule wa kuvaa nguo kama hizi sana sana anayevaa anageuka kuwa kituko kwa wale wanaoelewa maana ya mavazi haya.

Kwa akili hizi sisi Waafrika tutabakia kuwa watumwa wa Wazungu mpaka siku ile BWANA YESU atakaporudi tena kwa mara ya pili. Kwa akili hizi ndio maana Wazungu wanatuibia madini yetu mpaka na mchanga pia wanachukua na kusafirisha kwenda kwao tena tukiwasindikiza sisi wenyewe mpaka uwanja wa ndege na bandarini huku tukiwalinda na silaha nzito, na wao kutuachia mahandaki matupu.

Ningekuwa mimi ni Rais wa nchi hii ningepiga marufuku kabisa aina hii ya ulimbukeni kama alivyofanya Rais wa Korea ya Kaskazini Kim Jong-un; amesema hataki kabisa kuona raia wake wanasheherekea X-mass ama wanajihusisha na tamaduni zozote zinazoambatana na sherehe hizi za kipagani zilizoanzishwa na Wazungu wa Rumi.
Nitakuelewa na kukuunga Mkono kama wewe ni ATR (African Tradition Religion ) na usiwe muislam , mkristo , Buddha , Hindus
 
Kitaja,nachoamini,kila jambo lina malengo,mfano Catholics,walitumia sikukuu ya kipagani iliyokuwa mapokeo ya wakati huo ili kuwapata watu hao na kuwabadili kuwa Wakristu,hiyo haimaanishi wakatoliki ni wapagan,kama vile America ilivyomtumia Hellen G. White kuanzisha kanisa la matazamio "Adventist church" ili kupunguza nguvu ya madhehebu yaliyotoka ulaya,hii haimaanishi kuwa America ni Adventist,ama kama sasa America anavyotanua himaya yake Asia kwa kuitambua Jerusalem,vita itakayofuata Na matokeo yake yatakayopanua Ukristu na kudunisha baadhi ya Imani kwa Asia Na sehemu kubwa ya dunia,hakumanishi America ni Ukristu. Kama ilivyo 1+1 imukiwa sawa Na mbili katika arthymetic Na watu hawakufundishwa kuhoji ndiyo sawa Na elimu za Imani za dini ,watu hawakufunfishwa kuhoji hata huko. Watu wengi wamekuwa waovu sana wakidhani wanatenda mema mbele za Mungu kwa kuwa hodari Wa kuta aina ya maisha waliyoishi watu nyakati za adamu hadi Yesu huku matendo yao yakiwa kinyume kabisa na ustadi wa maneno yao.
Kipimo cha kulitambua kanisa la Mungu ni Biblia pekee. Tazama Ufunuo 14:12. Hapa ndipo ulipo msingi wa Seventh Day Asventist Church. Wanashika Amri za Mungu kama zilivyo katika Biblia na Imani ya Yesu Kristo.
 
Son of Gamba, Maelezo hayo hayajitoshelezi kueleza juu ya Costantine,mwandishi anasema kama alivyoandika kwenye kitabu chake. Jua kila mtu awezakuandika atakavyo. Hata mwandishi wa hadithi za sungura na fisi kuongea aweza kurefer Vitabu vyake. Pia naomba kuuliza,unaamini uwepo Wa Mungu Wangapi? Je Mungu ni nini?
Ndugu yangu historia ya Emperor Constantine ipo tena hata kanisa Katoliki kwenye "archives" zao kule Vatican City wamehifadhi historia ya huyu mtu. Kila kitu alichokifanya kinajulikana, mimi nimeandika kwa kifupi sana, siwezi kuandika kila kitu. Kwa kifupi tu elewa kwamba Emperor Constantine alikuwa ni "wakala" shetani. Unaelewa alama ya "msalaba" inayotumiwa na Roman Catholic Church ilitoka wapi na nini maana ya maneno yaliyopo kwenye msalaba ule??
cross.jpg
cross 2.jpg
Mimi binafsi naamini uwepo wa MUNGU mmoja tu, MUNGU BABA muumba wa mbingu, dunia, nyota, jua, mwezi, sayari zote na kila kitu kilichomo ndani yake. Naamini kuwa BABA MUNGU ndiye aliyeumba kila aina ya "uhai" unayoifahamu wewe. Ningeweza hata kukuandikia Jina lake lakini jina hilo ni TAKATIFU mno kiasi kwamba siwezi kuliandika humu kwenye JF iliyojaa kila aina ya uchafu.
Fahamu tu kwamba Huyo BABA MUNGU ninayemwamini Ndiye BABA ya YESU KRISTO, BWANA NA MWOKOZI WETU.

Lucifer ambaye ndiye shetani na Ibilisi, aliumbwa na BABA MUNGU, lakini huyu Lucifer amekuwa akijifanya na yeye ni mungu kwa kuwadanganya watu ili wamwabudu na kumsujudia. Lucifer amekuwa akiwatokea watu katika namna nyingi, mfano mzuri ni kama alivyomtokea Emperor Constantine na kumpatia nguvu za ajabu. Emperor Constantine alikuwa anamwabudu Mithra ambaye ndiye huyo huyo Lucifer. Huku Africa mababu zetu walikuwa wakiabudu mizimu, ambayo ndiyo hayo hayo mashetani, akina Lucifer.
 
Back
Top Bottom