Kweli kabisa mkuu,..mbona hata sera nyingi za cdm wameshazitumia tayari..CCM YALE MAZURI YENYE MASLAHI KWA TAIFA TOKA CDM YACHUKUENI TU MBONA SISI HATUNA SHIDA NA NINYI MKIACHA UFISADI WENUKujivua gamba inagusa aspect zote za maisha;uvaaji,uongeaji n.k the issue was chama kilikosa mvuto na inavyoonekana vijana walivutiwa na magwanda!tuache majungu ukweli ni kwamba Benno amependeza!!
Hapo beno alikuwa ofisin au hujui umeangalia vibayaCCM walivaa enzi hizo tukiwa bado ktk harakati sasa tuko ofisini we are leaders lazima tu look official hayo ya harakati tumwachie mbowe na kina lissu
Bado CUF na TLP pamoja na NCCR Mageuzi
John Heche BAVICHA
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa
Kwa CCM tunaelewa kuwa uvaaji wao ni kijani sasa salwa la kuvaa Magwanda limetoka wapi?
Chimbuko lake ni wapigania uhuru....hata CDM wanapigania uhuru...kwa hiyo peoooopleeeeesssssss.......pooooooweeeeeeeeeerrrrr!Hiyo slogan ebu taften chimbuko lako na mjue dhamira yake msikurupuke vijana
Mbowe ni mbunifu ile mbaya walianza nayo kina Che Guevala sasa ameyarudisha,wengi wataiga.
Lile gwanda la Chadema tafsiri yake HAKUNA KULALA HADI KIELEWEKE......la Magamba HAKUNA KULALA HADI RASILMALI ZIISHECDM Tunapovaa magwanda tunajulikana kama Makamanda, sasa cjui Magamba wanajiitaje. Labda cjui the Green Guard or smthng.
Si heshima kuandika jina la mtu utakavyo wewe.
Poooweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrrrr!!!!Chimbuko lake ni wapigania uhuru....hata CDM wanapigania uhuru...kwa hiyo peoooopleeeeesssssss.......pooooooweeeeeeeeeerrrrr!