FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
Fashion huja na kupotea na kurudi, uvaaji wa magwanda labda vijana wa leo ndio mtaona kuwa ni fashion mpya, wazamani twayajua sana na tulikuwa tukiyaita "safari suit".
Cha kukatisha tamaa ni kwamba kwingine huitwa "gays suit". Haya, wavaaji muelewe!
Cha kukatisha tamaa ni kwamba kwingine huitwa "gays suit". Haya, wavaaji muelewe!