Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
John Heche BAVICHA
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa
Kwa CCM tunaelewa kuwa uvaaji wao ni kijani sasa kuvaa Magwanda kumetoka wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umekua muwazi mkuu na uwapashe hao vilaza pia unachelewa mkuu huko ulikoduuh lahaula najua CDM ni vazi lao rasmi la shughuli za kisiasa na walivaa wakiiga mavazi aliyovaa Nyerere wakati wa harakati za kugombea uhuru, kwao pia wakimaanisha wako katika harakati za kugombea uhuru, sababu tunajua CDM ni wanaharakati sio wanasiasa na zinakuwa na rangi ya kijivu ka mgambo au brown ila nao CDM sasa naona wameweka mbwembwe mara nyeusi sijui cream, tusubiri halima mdee avae gwanda la pinki. Kwa upande wa CCM ni ulimbukeni hasa UVCCM hilo si vazi stahili kwao kwani wao hawako katika harakati wao ni watawala, wanawaiga sana CDM sijui wanafikiri CDM wanapendwa kwa kuvaa kombati? wajiulize mara mbili mbili. Mimi ni mwana UVCCM hai tena hai kabisa ila kwa sasa sipendi mtindo wa CCM kuiga siasa za CDM hasa Nape naye kaanza sijui nyaraka za siri what a crap?????!!!!!!! tuache kuiga mbona mavazi yetu na skafu zilikuwa zinapendeza tu Malisa acha usharobaro siasa sio mavazi ni sera
Hiyo slogan ebu taften chimbuko lako na mjue dhamira yake msikurupuke vijanaMwisho wataiga na slogan sasa peoplessssssssssss.......
CDM Tunapovaa magwanda tunajulikana kama Makamanda, sasa cjui Magamba wanajiitaje. Labda cjui the Green Guard or smthng.
ya kaisari muachien kaisari na msilolijua ni km usiku wa giza hizo ni special kwa ajili ya watu flan tena wengi ni makamanda ndani ya uvccm,hazijaanza juz wala jana ni tangu enzi hizo,polen kwa kuchelewa kujua
John Heche BAVICHA
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa
Kwa CCM tunaelewa kuwa uvaaji wao ni kijani sasa salwa la kuvaa Magwanda limetoka wapi?
CUF si wanavaa vikoi na mabaibui, sasa niskilizie ukalie msumari lazma uachwe uchi kama Nape anavyomuacha uchi Maalim kwa kunywa whisky ikulu!Bado CUF na TLP pamoja na NCCR Mageuzi
Teh teh...Magamba wameishiwa kila kitu wamebaki kufa tu.Nguo hizi si ndo za askari wajiji la Dar? Kasoro tu malisa hana Rungu!Hata wakibadilisha nguo wabaki hata uchi, haitawavutia watu tena, la kuvunda halina perfume!Makamanda wote wa Uvccm wanapoapishwa huvaa gwanda tangu TANU youth league! CDM waliiga CCM,tofauti ni kuwa CCM wanavaa magwanda ya Kijani na nyeusi,CDM wanavaa kombati ya Mgambo wa Jiji