and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,105
- Thread starter
- #21
Kondomu zitengenezwe viwanda vya ndani, tukuze uchumi
Duuh! hatariChini uvae kondom, juu uvae barakoa, hayo ni mapenzi utakua unafanya au ni nini?
🏃🏃🏃🏃🏃umenishinda we mtu
Chini uvae kondom, juu uvae barakoa, hayo ni mapenzi utakua unafanya au ni nini?



Sawaaa mkuuKama ni vituo vya kutolea huduma za afya, utafiti wako hauna uhalisia
Ukweli ndo huo CTC zile mkuu nadhani si unajua wanavoenda wengi tena wanakua wachamungu sana wengineAcha kamba wewe..
Nilikuwa nimeaandaa mafundi na malori ya kokoto kuja kujenga ukweli, ila kwa hili jibu naelekeza hiyo hela ikajenge mahandaki kwa ajili ya vita ya uchumiHivi bado zipogo???!!
Bila link ni unafiq majnuniHuwa naonaga ktk yale ma group ya telegram sex workers wana semaga wanatumia mafuta kupata utelezi wakidai una epusha michubuko. Na ona tabia imekubwa ni kubwa tayari ni TATIZO na linachochea maambukizi ya STDs
Ktk yale ma group ya telegram vijana wana mwagana mitindo tu
Hahahaja we sema unataka upewe link acha umaandaziBila link ni unafiq majnuni
Zipoo.. nikupe?Hivi zipo!??
Kwani umekutwa na Nini?Kama ilivyo msisitizo katika kuvaa barakoa nashauri elimu itolewe uvaaji wa kondomu usisitizwe wakati wote kujiepusha na maambukizi japo unapunguza utelezi
Cc smart 11 hatumiagiHivi bado zipogo???!!

Msisitizo umehamia kwenye barakoa kuliko KondomuKwani umekutwa na Nini?
Qmamayee walai😀😀😀Hivi zipo!??
Hapana... ahsante aiseeZipoo.. nikupe?