Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,890
Kwakweli naombeni matapeli madalali msinipigie ,mnasema mnauza mashamba natafuta mteja tunaanza kuzunguka tu kama pia.
Tuelewane.
Hii namba ni kwa ajili ya wateja sio mniharibie kazi .
Ila kama kuna mteja anahitaji kiwanja na mashamba Arusha aniambie na bajeti yake ili tumtafutie .
Tuelewane.
Hii namba ni kwa ajili ya wateja sio mniharibie kazi .
Ila kama kuna mteja anahitaji kiwanja na mashamba Arusha aniambie na bajeti yake ili tumtafutie .