Uundaji magari

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Jul 26, 2017
948
1,093
Hello!
Naomba kuuliza vijana mlio na uwezo wa kuunda magari au pikipiki, hivi hamuwezi kuunda hivyo vyombo vya moto kwa bajeti ndogo mfano Tsh.500,000/= mpaka Tsh.2,000,000/= hivi??
Undeni bwana ziwasaidie watu vijijini na baadhi ya mijini, mbona nchi za Asia wanafanya!!
Please, kama mnaweza fanyeni kitu. Kuhusu usajili na mambo ya ubora nk itajulikana mbele kwa mbele
 
Uunde pikipiki kwa gharama ya laki 5!! Hayo material ya kufanyia hiyo kazi amekupa nyanya yako!

Gari uunde kwa million 2 brother kuwa serious na uundaji.
Jamaa kama kavuta bangi hvi...aina mpya inaitwa fidodido 😀
 
Uunde pikipiki kwa gharama ya laki 5!! Hayo material ya kufanyia hiyo kazi amekupa nyanya yako!

Gari uunde kwa million 2 brother kuwa serious na uundaji.
Hakya nan, brother kuwa serious na uundaji wako
 
Wataalamu wakiamua ninaimani wanaweza pakubwa. Sio lazima magari au pikipiki yawe ya kufanana kimfumo na wenzetu hapana, tunaweza jitengenezea mfumo wetu tu
Hivi nyie watu wa NIT, VETA na GEREJI ZA MITAANI hivi hamuwezi kweli wataalamu wetu mkaja na vitu bei poa, ubora juu na vinavyoendana na mazingira yetu.
Embu fanyeni kitu bwana
 
Uunde pikipiki kwa gharama ya laki 5!! Hayo material ya kufanyia hiyo kazi amekupa nyanya yako!

Gari uunde kwa million 2 brother kuwa serious na uundaji.

Usiwakatishe tamaa, bora ya huyu amethubutu angalau kuwaza hivyo hatimaye atachumua hatua ni wazo ZURI, NA LINAWEZEKANA SANA TU.
 
Mbona kunajamaa katengeneza bajaj yake na inasimamiwa jino kwa jino inatembea fresh inasubir kupitishwa na tbs. Kila kitu kinawezekana na watz tunaweza sema kama huyu jamaa eti tbs ilimkatali kwakua imepungua cm10. Saiz wanaiongeza kdgo baada ya waziri kuwakomalia.
 
Mbona kunajamaa katengeneza bajaj yake na inasimamiwa jino kwa jino inatembea fresh inasubir kupitishwa na tbs. Kila kitu kinawezekana na watz tunaweza sema kama huyu jamaa eti tbs ilimkatali kwakua imepungua cm10. Saiz wanaiongeza kdgo baada ya waziri kuwakomalia.
Tatizo siyo kuunda tatizo ni hizo gharama ambazo huyu kapendekeza.

Umefuatilia kujua ameunda kwa gharama gani hiyo bajaj?
 
Tatizo siyo kuunda tatizo ni hizo gharama ambazo huyu kapendekeza.

Umefuatilia kujua ameunda kwa gharama gani hiyo bajaj?
Gharama nafuu sana kwa maelezo yake hakuweka wazi beibgan ila kwa production kubwa ukianza utapata vtu vingi kwa jumla na bei itapungua sana ila sio kwa bei ndogo kama alivo sema.
 
Kwa wale wanaopata tabu ufatiliaji ingien youtube na jitaidin kwenda kwenye maonyesho ya veta na viwanda kama nyumbu na mazao...
Screenshot_20190904-083632.jpeg
 
Gharama nafuu ni shilingi ngapi?
Gharama nafuu sana kwa maelezo yake hakuweka wazi beibgan ila kwa production kubwa ukianza utapata vtu vingi kwa jumla na bei itapungua sana ila sio kwa bei ndogo kama alivo sema.
 
Back
Top Bottom