Uume wangu unasimama sana hadi unauma, shida ni nini?

Jamani shida nini, yaani uume wangu unasimama sana na misuli yake inakaza sana mpaka naumia.
Erectile Dysfunction / priapism...ni abnormal circulation of blood ktk mishipa ya uume. Na sababu ziko nyingi Ila common ni
1. sickle cell
2 .malaria
3. Leukemia (kansa ya damu)
Jamaniii si kila Kusimamisha ni uanaume
NB.KAMUONE DAKTAR MAPEMA SANA....
Thnxxx
 
Back
Top Bottom