Amesha rogwa huyo itabidi aende kwa mganga akateguliwe huo uchawi.@Nduka Original bibie.@Palomapia mtafute MziziMkavu na Mtambuzi watakusaidia
Nina shida jamani, ni mwezi wa tatu sasa uume wangu hausimami nyumbani kabisa, kwa maana hiyo sijafanya mapenzi na mke wangu kwa kipindi chote hicho. Cha ajabu kabisa nina ka king'amuzi nje nikikaona tu uume unasimama na ninafanya mapenzi. Je huu utakuwa ugonjwa gani?
kuna shida katika ndoa yako,au mafarakano au mke wako amekosa mvuto kwako kushidwa kukusisimua kimwili.jaribu kukaa chini kisha tafuta shida hiko wapi katika ndoa yako kisha tatua tatizo..
Pia jaribu kutoka outing na mke wako kisha fanyeni mazungumzo ya kimapenzi wenyewe mkiwa nje kisha chukua hotel nzuri nenda na mke wako mfanyie surprise kisha angalia kama game alitokwenda au namna gani?usiingize habari za matatizo au mambo mengine siku hiyo zaidi ya mapenzi tu..


Sio kweli,unaweza ukawa unafanya kazi mbali na mkeo yaani mkoa au wilaya tofauti,na huko unakofanyia kazi uko na mchepuko ambao unaishi nao Kama mkeo,unapika na kupakua,na unaweza ukakaa hata miezi mitatu hujaonana na mkeo,lakini bado ukienda kwa mkeo unakuta imegoma kabisa inabidi uanze kumeza panadol kusingizia homadah hii ishu inatokeaga wengi mkuu..mimi piaa ilishawah kunotokea..nadhan mara nying insbabishwaa n akili zaid kuliko mambo mengine..wake zetu sbb tunaonana nao daily inafik hatua tunawazoeaa sana...ushauri wa wadau hapo juu..jitahd kutengenez mazingiraa rafiki ..no stresss kbsaaa..n with time utapona tu
Hayo mambo mbn kama ya fatema wa kule kaskazin mashariki!?Nina shida jamani, ni mwezi wa tatu sasa uume wangu hausimami nyumbani kabisa, kwa maana hiyo sijafanya mapenzi na mke wangu kwa kipindi chote hicho. Cha ajabu kabisa nina ka king'amuzi nje nikikaona tu uume unasimama na ninafanya mapenzi. Je huu utakuwa ugonjwa gani?
Hii niliona Instagram Kuna mdada mmoja alikua anafundisha wengine namna ya kumfanya mwanaume uume wake usisimame kwa wanawake wengine isipokua kwake tu. Sasa kumbe ninkweli kabisaNina shida jamani, ni mwezi wa tatu sasa uume wangu hausimami nyumbani kabisa, kwa maana hiyo sijafanya mapenzi na mke wangu kwa kipindi chote hicho. Cha ajabu kabisa nina ka king'amuzi nje nikikaona tu uume unasimama na ninafanya mapenzi. Je huu utakuwa ugonjwa gani?