galindas
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 978
- 1,304
Sex is not what is in btn our legs but what is in our heads. Ukisha mtoa thamani akilini basi jamaa hawezi kufanya kazi hata kidogo. Ndio maana kuna watu wanafanya mapenzi na watu wengine kisha kuwataja wengina maana ndio wanaowa feel. Mrudishe mkeo akilini then jamaa atarudi kazini. Vinginevyo jiandae kupigiwa na hungry wolves wanaosubiri nje.