UTV ya Azam Tv sio free tena

UTV ya Azam Tv sio free tena

Watumiaji wa azam mnawarithi wa dstv malalamiko
 
Wanonunua Azam sijui wanatafuta nini aisee maana kuna zile za other channels kwa docoder MPYA wamezifunga mpaka ulipie wakati ni bure. Kuna option ya kuweka flash hai play mpaka ulipie ndio inafunguka wafrica wamelogwa.
 
Nahisi sababu ni kuonesha mechi ya EPL.
Ila kama ni free channel inapaswa kusiwe na restriction yoyote ile ya kumsababishia mtazamaji ashindwe kutazama wakati wowote.
Kama wanaonesha content yenye kuhitaji kulipia wapeleke kwenye channels zao za kulipia na isiwe hii channel ya bure
 
Back
Top Bottom