Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Thanks,nitaku-PM ili niulize maswali mengine zaidi.
Usisahau kugonga na hako kabutton ka thanks basi.
Thanks,nitaku-PM ili niulize maswali mengine zaidi.
hahahahah!nje ya mada hii,halina ubishiUsisahau kugonga na hako kabutton ka thanks basi.
Mbu hulali? kweli these few days kuna kitu kinakusumbua sana the way i see it.Kwa hiyo natoa pole in advance....hivi,
inakuaje mtu anakubali kudhalilika na kunyanyasika kisa
mapenzi.Ni kweli hawezi kula, kulala wala maisha bila huyo mtu?
au ni false hopes kwamba atabadilika tabia?
...Unakuta mwanaume haipiti mwezi anakuja kazini amevimba jicho, halioni sawasawa na damu imevilia. Ukimuuliza anakwambia nimejigonga na mlango.
Kumbe, jana yake alichezea kipondo cha kumtosha toka kwa mkewe,
kosa; 'anajitia jeuri sana!'...
...au, unamkuta mwanamke kakondeana, hana raha yeye ni kilio tu
na misononeko... kisa; Mume wa mtu hamjali, wala hana muda naye, eti muda wote anashinda na Mkewe, anakuja kula uroda tu!
...au mtu ananyimwa unyumba bure bure tuuu, au kila siku ya mungu unanuniwa bure bure! Kama hiyo haitoshi, mtu huyo huyo anayekutenda linapokuja suala la 'chakula cha usiku', anataka ajipakulie ale halafu akimaliza hafuniki wala kupangusa chombo..
shida yote ya nini? Utumwa wa mapenzi ni; udhaifu wa maamuzi/kujiamini, ...au ndio; Mapenzi ya kweli ni kujishusha(?)
Jadili.
...hivi,
inakuaje mtu anakubali kudhalilika na kunyanyasika kisa
mapenzi.Ni kweli hawezi kula, kulala wala maisha bila huyo mtu?
au ni false hopes kwamba atabadilika tabia?
...Unakuta mwanaume haipiti mwezi anakuja kazini amevimba jicho, halioni sawasawa na damu imevilia. Ukimuuliza anakwambia nimejigonga na mlango.
Kumbe, jana yake alichezea kipondo cha kumtosha toka kwa mkewe,
kosa; 'anajitia jeuri sana!'...
...au, unamkuta mwanamke kakondeana, hana raha yeye ni kilio tu
na misononeko... kisa; Mume wa mtu hamjali, wala hana muda naye, eti muda wote anashinda na Mkewe, anakuja kula uroda tu!
...au mtu ananyimwa unyumba bure bure tuuu, au kila siku ya mungu unanuniwa bure bure! Kama hiyo haitoshi, mtu huyo huyo anayekutenda linapokuja suala la 'chakula cha usiku', anataka ajipakulie ale halafu akimaliza hafuniki wala kupangusa chombo..
shida yote ya nini? Utumwa wa mapenzi ni; udhaifu wa maamuzi/kujiamini, ...au ndio; Mapenzi ya kweli ni kujishusha(?)
Jadili.
kwa upande wa wanawake wapo wengi wanaoteswa na kukondeshwa na waume wao lakini wenyewe wamo tuu...sio kwa sababu ya kupenda saaana, hapana...ukiongea nao unaweza kugundua kuwa mapenzi yaliisha siku nyiiiingi ila anakuwa hana ubavu wa kuondoka kwa sababu
anategemea mumewe ndio amtunze yeye na wanawe,
hataki wanawe walelewe na mama wa kambo au wa experience mambo ya divorce
anaona umri umekwenda na watoto keshazaa, anaona akiwa divorced ktk umri huo vishawishi vitakuwa vingi na kumpotezea heshima yake, anahofia kupotesa heshima ya kuitwa mke wa mtu etc etc
...shukran sana Triplets,
yaani hayo uliyosema ndio 'Utumwa' wenyewe huo ninaomaanisha mimi,...
Ukishaamini huwezi ishi bila yeye ujue umekwisha!
Wazungu wanaita 'Self esteem', yote imemuishia mtu huyo!
Hajiamini tena, ana wasiwasi tuuu, yu tayari kujiua 'akimkosa', ...
Utumwa!
Mkuu, kwani nawe u mmoja wao?
Ha ha ha ha ha...Unakuta mwanaume haipiti mwezi anakuja kazini amevimba jicho, halioni sawasawa na damu imevilia.
Wewe koma kabisa. Ndoa ni bahati nasibu??? Unamaanisha nini?? Aisee dont try this anywhere, anyplace na kama bado hujaoa kama mimi kuwa makini sana na umwombe Mola akuepushe na hiyo bahati nasibu akupe kile unachostahili. Come on, Ndoa bahati nasibu?? LOL!!usiogope, ndoa ni bahati nasibu,
Ha ha ha ha ha
Mapenzi raha kweli njemba inapewa NAKOZI ya jicho na wife halafu inasingizia mlango. Raha sana. Thats why marriage is not a priority today as far as all the services can be obtained under one roof!!! Mbu yashakukumba nini Strike wangu??? I like ur thread
ni kweli nilisema ndoa ni bahati nasibu na nadiriki kurejea tena kwa kujiamini kwamba ndoa ni bahati nasibu (either win or loose) , labda ungeliangalia niliemnukuu na ukaichukua sentensi yangu nzima ungelifahamu nimekusudia nini. tatizo limekuja pale ulipochukua kipande cha sentensi.Wewe koma kabisa. Ndoa ni bahati nasibu??? Unamaanisha nini?? Aisee dont try this anywhere, anyplace na kama bado hujaoa kama mimi kuwa makini sana na umwombe Mola akuepushe na hiyo bahati nasibu akupe kile unachostahili. Come on, Ndoa bahati nasibu?? LOL!!