Anachofanya JPM kutengua nafasi zao viongozi wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea ubunge ni kuongeza ghalama kwa Serikali.
Atalazimika kuwalipa mishahara ya vyeo vya uDAS, uDED,uRAS na Ukatibu Mkuu viongozi anaowatengua vyeo vyao wale wote ambao hawatapitishwa na CCM kupeperusha bendera ya CCM na kupitishwa na NEC kupambana na vyama vya upinzani.
Wale watakaopitishwa na CCM ajira yao itakoma hata wale watumishi wengine wa umma wasio wateule wa Rais kwa kulipwa chao. Ubishi wa kutotii kauli yake kuwa hawalidhiki na vyeo alivyowapa upo hapo. Nadhani hakujua kama kauli yake ya kuwatisha aliitoa kimakosa na washauri wake kwa kumuogopa hawakumtahadharisha.
Kama kanuni kuu za utumishi wa umma zimebadilika nishahihishwe. Bado naona Kafulira na wenzake walioingizwa kwenye utumishi wa umma bila usaili bado wako salama.
Akilazimisha kuwanyima mishahara yao wataenda mahakama za kazi na watamshinda. Hata maDED anaowatumbua bado wananufaika na mishahara minono ya uDED hadi watakapostaafu.
Atalazimika kuwalipa mishahara ya vyeo vya uDAS, uDED,uRAS na Ukatibu Mkuu viongozi anaowatengua vyeo vyao wale wote ambao hawatapitishwa na CCM kupeperusha bendera ya CCM na kupitishwa na NEC kupambana na vyama vya upinzani.
Wale watakaopitishwa na CCM ajira yao itakoma hata wale watumishi wengine wa umma wasio wateule wa Rais kwa kulipwa chao. Ubishi wa kutotii kauli yake kuwa hawalidhiki na vyeo alivyowapa upo hapo. Nadhani hakujua kama kauli yake ya kuwatisha aliitoa kimakosa na washauri wake kwa kumuogopa hawakumtahadharisha.
Kama kanuni kuu za utumishi wa umma zimebadilika nishahihishwe. Bado naona Kafulira na wenzake walioingizwa kwenye utumishi wa umma bila usaili bado wako salama.
Akilazimisha kuwanyima mishahara yao wataenda mahakama za kazi na watamshinda. Hata maDED anaowatumbua bado wananufaika na mishahara minono ya uDED hadi watakapostaafu.