walikuyu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 572
- 1,188
Kama somo linavyojieleza hapo juu.
Wakuu natumaini amjambo! Jamani tangu wiki iliyopita tunapiga namba ya simu ya utumishi wa umma na utawala bora haipatikani kabisa tunashindwa kupata mirejesho ya matatizo yetu.
Najua humu kuna wajuzi wengi tafadhali kama kuna mdau yeyote anaweza kutoa usaidizi basi afanye ivyo.
Naomba niwasilishe wakuu.
Wakuu natumaini amjambo! Jamani tangu wiki iliyopita tunapiga namba ya simu ya utumishi wa umma na utawala bora haipatikani kabisa tunashindwa kupata mirejesho ya matatizo yetu.
Najua humu kuna wajuzi wengi tafadhali kama kuna mdau yeyote anaweza kutoa usaidizi basi afanye ivyo.
Naomba niwasilishe wakuu.