Nakumbuka kipindi cha nyuma hapa niliwahi kulalamika ,kwa nini utumishi hawanichagui.Nashukuru kuna watu waliniambia wakaniambia niende nikaonane nao ana kwa ana Maktaba kuu ya taifa.Mimi nina Degree ya Telcommunication Engineering na CCNA (R&S).Nimeanza kuapply kazi kuanzia 2016 lakini sikubahatika kuitwa katika usahili hata mmoja,kuna nafasi za TCRA amabazo nilikuwa na fiti sikuitwa,kuna nafasi za TPA (Network Engineer) sikuitwa, wizara ya ardhi (Network Engineering) sitatwa.eGA na TBS zote sikuitwa ,nafasi zote hazikuwa na uhitaji wa mtu mwenye uzoefu.
Nakumbuka wiki kama tatu nyuma nilienda kukutana nao pale maktaba,bahati nzuri niakakutana na mama wa makamo,nikamuuliza tatizo langu, mbona mimi sijawahi kuitwa kwenye udahili tokea nianze kufanya application 2016.Yule mama aliangalia profile langu kalikagua akaliona lipo sawa,akangalia zile requirement za kazi ,nilizoomba akaniambia tatizo naomba nafasi za watu wa Computer Science,Software, IT.
Nikamwambia inamaana CV zetu tunazowapa hamtizami,akaniamabia wao wanaangalia kwanza kozi,nikajaribu kumueleza ya kuwa upande wa Networking hamna course inayoingia deep kama Telcom sasa mbona hata hizi mimi sichaguliwi na vilevile nina CCNA ,akanipa jibu nahisi kama limeninyong'onyesha ,aliniambia kwa post ninazo omba ni za watu wa Computer Science,IT,Software,Computer Engineering kama vipi nisubirie za TTCL (wana miaka zaidi ya mitatu siajona tangazo lao la ajira),nilichoka sana.Nikaona tena nitafute shughuli nyingine ya kufanya.
Baadaye nikaja gundua si mimi peke yangu nina jamaa yangu mmoja tulipiga nae project kwenye kamapuni za minara ana Diploma ya Electronics and Telecommunication Engineering na Degree ya Electronics and Communication ,kumbe nae ana tatizo kama langu ,ila yy aliitwa interview moja ya Business analyst basi lakini tokea 2015 kila akiapplya anakosa hata hii ya juzi ya TBS ilikuwa ikitaka mtu kama yeye (haina experince) hakuitwa.Sasa pata picha una mwita mtu udahili wa Business analyst,lakini katika sehemu anayofiti kabisa ya TBS humwiti hamuoni kama kuna walakini.
Nimeziona nafasi hizi za TAMISEMI nimezitamani sana na nyingi upande wa network administrator,lakini nikiangalia kutokana na majibu ya yule mama naona bora niache na nafasi zipo zaidi ya 20.Labda nilikuwa naomba ushauri labda niende ngazi gani ya juu ili niweze saidiwa manake nimechoka na hizi tempo za kuungaunga.
Nakumbuka wiki kama tatu nyuma nilienda kukutana nao pale maktaba,bahati nzuri niakakutana na mama wa makamo,nikamuuliza tatizo langu, mbona mimi sijawahi kuitwa kwenye udahili tokea nianze kufanya application 2016.Yule mama aliangalia profile langu kalikagua akaliona lipo sawa,akangalia zile requirement za kazi ,nilizoomba akaniambia tatizo naomba nafasi za watu wa Computer Science,Software, IT.
Nikamwambia inamaana CV zetu tunazowapa hamtizami,akaniamabia wao wanaangalia kwanza kozi,nikajaribu kumueleza ya kuwa upande wa Networking hamna course inayoingia deep kama Telcom sasa mbona hata hizi mimi sichaguliwi na vilevile nina CCNA ,akanipa jibu nahisi kama limeninyong'onyesha ,aliniambia kwa post ninazo omba ni za watu wa Computer Science,IT,Software,Computer Engineering kama vipi nisubirie za TTCL (wana miaka zaidi ya mitatu siajona tangazo lao la ajira),nilichoka sana.Nikaona tena nitafute shughuli nyingine ya kufanya.
Baadaye nikaja gundua si mimi peke yangu nina jamaa yangu mmoja tulipiga nae project kwenye kamapuni za minara ana Diploma ya Electronics and Telecommunication Engineering na Degree ya Electronics and Communication ,kumbe nae ana tatizo kama langu ,ila yy aliitwa interview moja ya Business analyst basi lakini tokea 2015 kila akiapplya anakosa hata hii ya juzi ya TBS ilikuwa ikitaka mtu kama yeye (haina experince) hakuitwa.Sasa pata picha una mwita mtu udahili wa Business analyst,lakini katika sehemu anayofiti kabisa ya TBS humwiti hamuoni kama kuna walakini.
Nimeziona nafasi hizi za TAMISEMI nimezitamani sana na nyingi upande wa network administrator,lakini nikiangalia kutokana na majibu ya yule mama naona bora niache na nafasi zipo zaidi ya 20.Labda nilikuwa naomba ushauri labda niende ngazi gani ya juu ili niweze saidiwa manake nimechoka na hizi tempo za kuungaunga.