kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,528
- 12,622
teh..vijana mna hasirawakichakachua tutajua tu, na tukijua tu hataachwa mtu salama pale sekretariet maana tutacompare majina ya walioitwa kazini ka yanafana na yale walioitwa kwenye oral kipindi cha nyuma isitoshe kanzidata kwa sasa kwa baadhi ya kada haina majina yaliyotunzwa mfano kwa kada ya hr kwasababu mchakato wa kuajiri ulikua umesimama zaidi ya mwaka,,,