Utumishi mbona kigugumizi kutoa majibu ya interview ya oral nafasi za TRA? Je haki itatendeka

naona web haifunguki ikirudi inarudi na mzigo
Inafunguka,
Ila Trafficking ni kubwa aisee,
Kwa leo wametembelea watu 32,000+ mpaka muda huu,
upload_2017-10-16_17-21-54.png
 
Visitors 39 elfu,utumishi wachukue matangazo sasa..fursa ya wazi hii
Public Organization hiyo unaifananisha na Mirald Ayo? Hakuna Nchi ambayo Public Organisation ambayo siyo Media (Gazeti, Television, Redio) Inakua ina matangazo.
 
Interview ya TRA ya written ilikua na zaidi ya watu elfu 29 na walipaswa kusahihisha kila majibu ya mt mmojammoja lakini iliwachukua tkribani wiki mbili tu kutoa majibu, interview ya oral haikua hat na watu 2000 na hawakua na kazi ya kuanza kusahihisha tena kama kwenye written lakini cha kushangaza inaenda kuisha wiki ya tatu kimya, hawaoni wanatengeneza chance ya watu kushawishi majibu ya hiyo interview?

Kwanini wanapatwa kigugumizi kutoa majibu? TRA ni organization ambayo inawavutia watu wengi sana kwa kuchelewesha majibu kunatia shaka kwa waliofanya interview na wapendwa wao kua na wasiwasi kama haki itatendeka.

Watu wa utumishi tuambieni nini kinaendeleaa??
Bado tunafanya Upembuzi Yakinifu.
 
Visitors 39 elfu,utumishi wachukue matangazo sasa..fursa ya wazi hii
In Reality hawafiki hata Robo ya hao,
Watu 40,000 wote hao wanatafuta nini??
Hata waliofanya interview wanaosubiri majibu hawafiki hao,
Sema mtu mmoja anaweza akaingia hata mara 20 kwa siku, nayo inahesabu tu haijui kama umerudia
 
Interview ya TRA ya written ilikua na zaidi ya watu elfu 29 na walipaswa kusahihisha kila majibu ya mt mmojammoja lakini iliwachukua tkribani wiki mbili tu kutoa majibu, interview ya oral haikua hat na watu 2000 na hawakua na kazi ya kuanza kusahihisha tena kama kwenye written lakini cha kushangaza inaenda kuisha wiki ya tatu kimya, hawaoni wanatengeneza chance ya watu kushawishi majibu ya hiyo interview?

Kwanini wanapatwa kigugumizi kutoa majibu? TRA ni organization ambayo inawavutia watu wengi sana kwa kuchelewesha majibu kunatia shaka kwa waliofanya interview na wapendwa wao kua na wasiwasi kama haki itatendeka.

Watu wa utumishi tuambieni nini kinaendeleaa??
Wewe unaishi wapi? mbona wenzako wapo ofisi kabla ya interview, Lengo la interview ni kutimiza sheria na taratibu za kazi, Kazi nyingi wanaajiriwa wahusika baada ya miezi kazaa wanatangaza interview huyajui haya mkuu?
 
Achaneni na tetesi zisizo na mbele wala nyuma, tulia kama ipo ipo tu jiandae kukubaliana na matokeo.
 
Habari ndo hiyo Tena MTU aliyenitonya yupo kwenye ofisi hyohyo anadai kuna vimemo vinakuja kutoka kwa wakubwa ..watoto Wa wakulima itabidi wasubiri SNA mpaka wenyewe waishe asee
 
Habari ndo hiyo Tena MTU aliyenitonya yupo kwenye ofisi hyohyo anadai kuna vimemo vinakuja kutoka kwa wakubwa ..watoto Wa wakulima itabidi wasubiri SNA mpaka wenyewe waishe asee
matokeo yakitoka ni kufanya comparison Watu walioitwa oral na hayo majina.... Haiwezekani mpk Leo matokeo bado kuna namna au mvutano...
 
Habari ndo hiyo Tena MTU aliyenitonya yupo kwenye ofisi hyohyo anadai kuna vimemo vinakuja kutoka kwa wakubwa ..watoto Wa wakulima itabidi wasubiri SNA mpaka wenyewe waishe asee
wakichakachua tutajua tu, na tukijua tu hataachwa mtu salama pale sekretariet maana tutacompare majina ya walioitwa kazini ka yanafana na yale walioitwa kwenye oral kipindi cha nyuma isitoshe kanzidata kwa sasa kwa baadhi ya kada haina majina yaliyotunzwa mfano kwa kada ya hr kwasababu mchakato wa kuajiri ulikua umesimama zaidi ya mwaka,,,
 
wakichakachua tutajua tu, na tukijua tu hataachwa mtu salama pale sekretariet maana tutacompare majina ya walioitwa kazini ka yanafana na yale walioitwa kwenye oral kipindi cha nyuma isitoshe kanzidata kwa sasa kwa baadhi ya kada haina majina yaliyotunzwa mfano kwa kada ya hr kwasababu mchakato wa kuajiri ulikua umesimama zaidi ya mwaka,,,
Yesu
 
Pamoja na hayo TRA walikua wanaajiri wenyewe bila kuwatumia utumishi, pengine utumishi wangeshafanya usaili siku za nyuma kwa niaba ya TRA na baadhi ya watu walofaulu wakakosa nafasi tungesema ni wa intake ilopita kitu ambacho kwa sasa hakiwezekani, hayo majina ya kwenye kanzudata yanatoka wapi??
 
Back
Top Bottom