Utumishi huu uhuni mmeanza lini?

Pole sana, utumishi ni wahuni sana...evidence zipo nyingi sana...IPO siku yao tu!!. Kutenda haki walishashindwa kabisa yaani
 
hahaa nimekuelewa sikusoma hapo juu ni wahuni hawa siyo kidogo ***** zaoooo
 
Kwa kukadiria tulihudhuria kwenye written interview ni kama 170 kati ya shortlisted candidates 282 lakini cha ajabu matokeo yametoka ya watu 286, hapo ndo maajabu yanapoanzia, hao wanne nimesema kwa mfano assume watu wote 282 walihudhuria lakini kuna wanne wamechomekwa lkn kiuhalisia sio wote walioitwa walihudhuria. Jibu la haraka ni kwamba UTUMISHI wanatuchezea rafu katika hizi interview zao sie watoto wa wakulima tusio na watu wa kutushika mikono.
 
Sasa mkuu waliozid hapo ni wanne tu au 287-170 ? Si umesema waliofanya pepa ni 170 tu?
Kwa kukadiria tulihudhuria kwenye written interview ni kama 170 kati ya shortlisted candidates 282 lakini cha ajabu matokeo yametoka ya watu 286, hapo ndo maajabu yanapoanzia, hao wanne nimesema kwa mfano assume watu wote 282 walihudhuria lakini kuna wanne wamechomekwa lkn kiuhalisia sio wote walioitwa walihudhuria. Jibu la haraka ni kwamba UTUMISHI wanatuchezea rafu katika hizi interview zao sie watoto wa wakulima tusio na watu wa kutushika mikono.
 
Kwa kudadiria tulihudhuria kwenye written interview ni kama 170 kati ya shortlisted candidates 282 lakini cha ajabu matokeo yametoka ya watu 286, hapo ndo maajabu yanapoanzia, hao wanne nimesema kwa mfano assume watu wote 282 walihudhuria lakini kuna wanne wamechomekwa lkn kiuhalisia sio wote walioitwa walihudhuria. Jibu la haraka ni kwamba UTUMISHI wanatuchezea rafu katika hizi interview zao sie watoto wa wakulima tusio na watu wa kutushika mikono.
Mkuu umeeleweka vyema mno tangu post yako ambaye hajakuelewa ni zuzu au ni mnufaika wa huo uozo ili utumishi wawe salama inabidi walitolee maelezo
 
huu ufala wa kuitwa interview watu 1000 kwenye post 4 niliacha mwaka jana.
sio ufala mkuu ulipima maji na unga ukajiona huwezi toboa...anyway si wengine home hakuna mtaji so hata tukiitwa 50000 tutaenda kujaribu bahati zetu
 
Utumishi hawawezi kufanya mchezo wa kitoto kama unavyofikiri hawa kuwa wanataka kuwapachika kama unavyodai wangesema tu walikuwepo kwenye database then wakapewa barua za kuripoti kituo cha Kazi chamsingi ulipaswa kujiandaa vyema tu acha kulalamika vitu ambavyo havina mashiko

Soma attachments alizoweka, usijibu bila ya ushahidi. Yeye ana ushahid je wewe?
Hilo limekua likijitokeza sana hasa ktk taasisi nyeti. Si hvo tu hata katibu wake ktk hotuba ake kwa waziri alikir kuwepo rushwa na kujuana. Na njia inayotumika sasa ni kuwaingiza ktk interview ili waonekane wamepitia mchakato wote. Hili nimelishuhudia mara kadhaa. Watu wanaoitwa wamekuwa wachche kuliko wanaofanya usail(pitia MNH-HA) utathibitisha hili.
 
Mkuu poleni sana,

Hayo ni machache tu kati ya madudu ya Sekretarieti ya ajira, hao jamaa siku hizi wana mapungufu mengi sana hadi aibu, hayo uliyosema ni baadhi tu ya mapungufu yao ila humu ukisema unaambiwa ujiandae kamwe huwezi shindana na mtu aliyekwisha andaliwa.....Siku nyingine unaenda pale unakutana na wenzako wana maswali mfukoni, muda mwingine watu wamesoma programme moja sifa zote sawa profile zinalingana ila mmoja anaitwa usaili mwingine anaachwa.

Sekretarieti ya ajira wanapaswa kujirekebisha madudu ni mengi mno.
 
Mkuu poleni sana,

Hayo ni machache tu kati ya madudu ya Sekretarieti ya ajira, hao jamaa siku hizi wana mapungufu mengi sana hadi aibu, hayo uliyosema ni baadhi tu ya mapungufu yao ila humu ukisema unaambiwa ujiandae kamwe huwezi shindana na mtu aliyekwisha andaliwa.....Siku nyingine unaenda pale unakutana na wenzako wana maswali mfukoni, muda mwingine watu wamesoma programme moja sifa zote sawa profile zinalingana ila mmoja anaitwa usaili mwingine anaachwa.

Sekretarieti ya ajira wanapaswa kujirekebisha madudu ni mengi mno.
It's true brother hili la watu kuwa na maswali mkononi umekuwa ni mchezo wao wa kawaida, yaani kuna watu mnakuwa nao pale na wanawacheka kimoyomoyo, sijui tukimbilie wapi sasa jamani
 
Mimi naiomba serekali yangu Sikivu
Uchafu uchafu wautumishi na ajira zote za serekali wakinipa Mimi kitengo hicho cha kuajiri nawahakikishia serekali yangu Hakuna uchafu wowote utakaofanyika
Nakila Mtu atapata Haki yake nawatatoka kwenye interview kila mtu ameridhika
Mh waziri usika nakuomba Sana nikusaidie hili swala nakuisafisha kbsa uchafu huu
 
Jibu rahisi ni kua watakimbilia kujibu kua walikua kwenye kanzi-data,
Lakini swala la kujiuliza kama wanajua kua kuna watu kwenye hiyo kanzi-data yao, kwanini wasumbuke kuitisha oral intavyuu ingine inayowagharimu huku wakijua kua wana watu kwenye kanzi-data??
Kwanini wasiwachomoe tu wa data base wakawapigisha intavyuu hao hao??
 
Utumishi walianza vizuri sana na kuwa tumaini la vijana wengi wahitimu. Miaka kadhaa iliyopita mtu ilikuwa ukikosa pale nafasi unakuwa na amani kabisa jinsi mchakato ulivyokuwa wa haki. Utawala huu wa rais wa "wanyonge" anayetumbua kila penye jipu, kuna kidudumtu kimeingia utumishi. Mambo yamekuwa yaleyale kama enzi za halmashauri kuajiri tena bila shaka hali ni MBAYA kuliko kipindi kile. Kwanza gharama ni kubwa mno maana usaili unafanyika Dar pekee. Upendeleo, harufu ya rushwa na watu kuwa na maswali ya usahili kabla ya siku ya usahili ni vitu vinavyodhihirika kwa kasi mno sasa. Japo hawawezi kukosa sababu ya kukanusha (kama ilivyo kawaida ya serikali na idara zake) lakini vijana tunayaona haya na pa kusemea hatuna maana huko mitandaoni kuna uwezekano wa jela ya bure, kila mtu kafungwa mdomo. Ila siku itakuja tu upendeleo+harassment za bodi ya mikopo kwa wadaiwa+hali mbaya isiyosupport kujiajiri (ona benki zetu zilizotupa mikopo ya kilimo cha nyanya zinavyofungwa) nk. Tutavichoka na hakuna atakayeogopa chombo chochote kandamizi. Kule Tunisia Mehmet Ali hakusubiri polisi waje wamuue na kutumia vibaya kodi ya wananchi, hiyo kazi aliifanya mwenyewe.
 
Back
Top Bottom