Utumishi huu uhuni mmeanza lini?

Utumishi huu uhuni mmeanza lini?

MAUBIG

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,040
Reaction score
859
HABARI WANABODI

Natumai mpo wazima humu ndani job seekers na employers kama wapo. Naomba nitumie jukwaa hili kuweza kuleta malalamiko yangu kwa wahusika najua watanisikia na watanzania wengine pia walijue hili.

Habari yenyewe ni kwamba hivi karibuni hawa jamaa wameniita kuhudhuria kwenye interview yao ambayo imefanyika tarehe 03/01/2018 siku ya jumatano kwa nafasi ya COORDINATOR II mwajiri akiwa ni NACTE lkn UTUMISHI wao wanaajiri kwa niaba. Ambao tulioitwa kuhudhuria written interview hii jumla ni 282. Tulioweza hudhuria tulifika kwa mfano mie nimetoka mkoani lkn wapo ambao hawakuweza hudhuria ni kawaida hutokea.

MALALAMIKO NA KILIO CHANGU CHANGU

  • Tuliitwa 282 kwa nafasi ya COORDINATOR II lakini tuliofika pale ni kama 170 kwa kukadiria.
  • Matokeo yametoka leo yanaonyesha kwamba tuliohudhuria na kufanya mtihani ni 286. Sasa tuseme tulihudhuria wote kufanya ile interview, swali je hawa WANNE(4) waliozidi wametokea wapi yaani 286 kutoa 282 wapata nne.
Sasa ndugu zangu watanzania hapo utagundua kwamba kuna mchezo wafanyika na hawa jamaa ambao tuliwaamini kwamba hata sie watoto wa wakulima twaweza pata ajira za serikali.

Kwakuhitimisha ili tusichoshane kwa maelezo marefu
  • Kuna watu wanakuwa wameandaliwa kwa ajili ya hizi kazi, hawa wanne(4) walizozidi utumiishi watueleze wametokea wapi.
  • Nadhani pia hawasahishi mitihani vizuri, hisia zangu kinachofanyika ni ukadiriaji tu wa maksi.
  • Watahiniwa hawakuhudhuria wote kwanini sasa matokeo yatoke kuzidi hata idadi halisi ya walioitwa kuhudhuria interview yenyewe.
Kama kuna watu mmewaanda kwa ajili ya hizi kazi basi muwape tu kuliko kutusumbua kutoka mikoani, MNAKERA KWAKWELI.

NIMEAMBATANISHA MAJINA YA SHORTLISTED NA MATOKEO KWA NAFASI YA COORDINATOR II KAMA USHAHIDI WA TUHUMA NILIZOZILETA, KUMBUKA NIMETAJA NAFASI YA COORDINATOR II PEKEE
 

Attachments

HABARI WANABODI

Natumai mpo wazima humu ndani job seekers na employers kama wapo. Naomba nitumie jukwaa hili kuweza kuleta malalamiko yangu kwa wahusika najua watanisikia na watanzania wengine pia walijue hili.

Habari yenyewe ni kwamba hivi karibuni hawa jamaa wameniita kuhudhuria kwenye interview yao ambayo imefanyika tarehe 03/01/2018 siku ya jumannne kwa nafasi ya COORDINATOR II mwajiri akiwa ni NACTE lkn UTUMISHI wao wanaajiri kwa niaba. Ambao tulioitwa kuhudhuria written interview hii jumla ni 282. Tulioweza hudhuria tulifika kwa mfano mie nimetoka mkoani lkn wapo ambao hawakuweza hudhuria ni kawaida hutokea.

MALALAMIKO NA KILIO CHANGU CHANGU

  • Tuliitwa 282 kwa nafasi ya COORDINATOR II lakini tuliofika pale ni kama 170 kwa kukadiria.
  • Matokeo yametoka leo yanaonyesha kwamba tuliohudhuria na kufanya mtihani ni 186. Sasa tuseme tulihudhuria wote kufanya ile interview, swali je hawa WANNE(4) waliozidi wametokea wapi yaani 186 kutoa 182 wapata nne.
Sasa ndugu zangu watanzania hapo utagundua kwamba kuna mchezo wafanyika na hawa jamaa ambao tuliwaamini kwamba hata sie watoto wa wakulima twaweza pata ajira za serikali.

Kwakuhitimisha ili tusichoshane kwa maelezo marefu
  • Kuna watu wanakuwa wameandaliwa kwa ajili ya hizi kazi, hawa wanne(4) walizozidi utumiishi watueleze wametokea wapi.
  • Nadhani pia hawasahishi mitihani vizuri, hisia zangu kinachofanyika ni ukadiriaji tu wa maksi.
  • Watahiniwa hawakuhudhuria wote kwanini sasa matokeo yatoke kuzidi hata idadi halisi ya walioitwa kuhudhuria interview yenyewe.
Kama kuna watu mmewaanda kwa ajili ya hizi kazi basi muwape tu kuliko kutusumbua kutoka mikoani, MNAKERA KWAKWELI.

NIMEAMBATANISHA MAJINA YA SHORTLISTED NA MATOKEO KWA NAFASI YA COORDINATOR II KAMA USHAHIDI WA TUHUMA NILIZOZILETA, KUMBUKA NIMETAJA NAFASI YA COORDINATOR II PEKEE
Utumishi hawawezi kufanya mchezo wa kitoto kama unavyofikiri hawa kuwa wanataka kuwapachika kama unavyodai wangesema tu walikuwepo kwenye database then wakapewa barua za kuripoti kituo cha Kazi chamsingi ulipaswa kujiandaa vyema tu acha kulalamika vitu ambavyo havina mashiko
 
Utumishi hawawezi kufanya mchezo wa kitoto kama unavyofikiri hawa kuwa wanataka kuwapachika kama unavyodai wangesema tu walikuwepo kwenye database then wakapewa barua za kuripoti kituo cha Kazi chamsingi ulipaswa kujiandaa vyema tu acha kulalamika vitu ambavyo havina mashiko
Jiongeze kidogo kwa kupakua hizo documents mbili, kisha cheki shortlisted, na matokeo yao utapata jibu kijana, sianzishi thread kilofa evidence hiyo hapo
 
Utumishi hawawezi kufanya mchezo wa kitoto kama unavyofikiri hawa kuwa wanataka kuwapachika kama unavyodai wangesema tu walikuwepo kwenye database then wakapewa barua za kuripoti kituo cha Kazi chamsingi ulipaswa kujiandaa vyema tu acha kulalamika vitu ambavyo havina mashiko
soma Maelezo uelewe acha kukurupuka kukoment
 
HABARI WANABODI

Natumai mpo wazima humu ndani job seekers na employers kama wapo. Naomba nitumie jukwaa hili kuweza kuleta malalamiko yangu kwa wahusika najua watanisikia na watanzania wengine pia walijue hili.

Habari yenyewe ni kwamba hivi karibuni hawa jamaa wameniita kuhudhuria kwenye interview yao ambayo imefanyika tarehe 03/01/2018 siku ya jumannne kwa nafasi ya COORDINATOR II mwajiri akiwa ni NACTE lkn UTUMISHI wao wanaajiri kwa niaba. Ambao tulioitwa kuhudhuria written interview hii jumla ni 282. Tulioweza hudhuria tulifika kwa mfano mie nimetoka mkoani lkn wapo ambao hawakuweza hudhuria ni kawaida hutokea.

MALALAMIKO NA KILIO CHANGU CHANGU

  • Tuliitwa 282 kwa nafasi ya COORDINATOR II lakini tuliofika pale ni kama 170 kwa kukadiria.
  • Matokeo yametoka leo yanaonyesha kwamba tuliohudhuria na kufanya mtihani ni 286. Sasa tuseme tulihudhuria wote kufanya ile interview, swali je hawa WANNE(4) waliozidi wametokea wapi yaani 286 kutoa 282 wapata nne.
Sasa ndugu zangu watanzania hapo utagundua kwamba kuna mchezo wafanyika na hawa jamaa ambao tuliwaamini kwamba hata sie watoto wa wakulima twaweza pata ajira za serikali.

Kwakuhitimisha ili tusichoshane kwa maelezo marefu
  • Kuna watu wanakuwa wameandaliwa kwa ajili ya hizi kazi, hawa wanne(4) walizozidi utumiishi watueleze wametokea wapi.
  • Nadhani pia hawasahishi mitihani vizuri, hisia zangu kinachofanyika ni ukadiriaji tu wa maksi.
  • Watahiniwa hawakuhudhuria wote kwanini sasa matokeo yatoke kuzidi hata idadi halisi ya walioitwa kuhudhuria interview yenyewe.
Kama kuna watu mmewaanda kwa ajili ya hizi kazi basi muwape tu kuliko kutusumbua kutoka mikoani, MNAKERA KWAKWELI.

NIMEAMBATANISHA MAJINA YA SHORTLISTED NA MATOKEO KWA NAFASI YA COORDINATOR II KAMA USHAHIDI WA TUHUMA NILIZOZILETA, KUMBUKA NIMETAJA NAFASI YA COORDINATOR II PEKEE
Ao watu sina hamu nao baada ya kusahisha mitihani ya watu elfu 3500 ndani ya SAA 24 na kutoa majibu
 
Ukweli niliwahi Fanya interview utumishi tulikua kama elfu moja siku hyo hyo walitoa majibu ya written nikabaki jiuluza hawa wamesahihisha SAA ngapi?toka siku hyo nikajua interview ya oral ya kazi yoyote hyo ndio kazi yangu..na kweli ikawa hivyo...utumishi wanachezea maisha ya watu
 
HABARI WANABODI

Natumai mpo wazima humu ndani job seekers na employers kama wapo. Naomba nitumie jukwaa hili kuweza kuleta malalamiko yangu kwa wahusika najua watanisikia na watanzania wengine pia walijue hili.

Habari yenyewe ni kwamba hivi karibuni hawa jamaa wameniita kuhudhuria kwenye interview yao ambayo imefanyika tarehe 03/01/2018 siku ya jumatano kwa nafasi ya COORDINATOR II mwajiri akiwa ni NACTE lkn UTUMISHI wao wanaajiri kwa niaba. Ambao tulioitwa kuhudhuria written interview hii jumla ni 282. Tulioweza hudhuria tulifika kwa mfano mie nimetoka mkoani lkn wapo ambao hawakuweza hudhuria ni kawaida hutokea.

MALALAMIKO NA KILIO CHANGU CHANGU

  • Tuliitwa 282 kwa nafasi ya COORDINATOR II lakini tuliofika pale ni kama 170 kwa kukadiria.
  • Matokeo yametoka leo yanaonyesha kwamba tuliohudhuria na kufanya mtihani ni 286. Sasa tuseme tulihudhuria wote kufanya ile interview, swali je hawa WANNE(4) waliozidi wametokea wapi yaani 286 kutoa 282 wapata nne.
Sasa ndugu zangu watanzania hapo utagundua kwamba kuna mchezo wafanyika na hawa jamaa ambao tuliwaamini kwamba hata sie watoto wa wakulima twaweza pata ajira za serikali.

Kwakuhitimisha ili tusichoshane kwa maelezo marefu
  • Kuna watu wanakuwa wameandaliwa kwa ajili ya hizi kazi, hawa wanne(4) walizozidi utumiishi watueleze wametokea wapi.
  • Nadhani pia hawasahishi mitihani vizuri, hisia zangu kinachofanyika ni ukadiriaji tu wa maksi.
  • Watahiniwa hawakuhudhuria wote kwanini sasa matokeo yatoke kuzidi hata idadi halisi ya walioitwa kuhudhuria interview yenyewe.
Kama kuna watu mmewaanda kwa ajili ya hizi kazi basi muwape tu kuliko kutusumbua kutoka mikoani, MNAKERA KWAKWELI.

NIMEAMBATANISHA MAJINA YA SHORTLISTED NA MATOKEO KWA NAFASI YA COORDINATOR II KAMA USHAHIDI WA TUHUMA NILIZOZILETA, KUMBUKA NIMETAJA NAFASI YA COORDINATOR II PEKEE
Jiulize hivi kwa nini utumishi hujawahi kuona wanatoa majibu ya usahili kwa majina,ila wanashortlist kwa majina? Haya majibu wangekua wametoa kwa majina ungekua umeshapata jibu nani kaongezeka
NB:kumbuka pia kwenye interview,birthday party,harusi,msiba na vigodoro watu huzamia hawakosekani.
 
HABARI WANABODI

Natumai mpo wazima humu ndani job seekers na employers kama wapo. Naomba nitumie jukwaa hili kuweza kuleta malalamiko yangu kwa wahusika najua watanisikia na watanzania wengine pia walijue hili.

Habari yenyewe ni kwamba hivi karibuni hawa jamaa wameniita kuhudhuria kwenye interview yao ambayo imefanyika tarehe 03/01/2018 siku ya jumatano kwa nafasi ya COORDINATOR II mwajiri akiwa ni NACTE lkn UTUMISHI wao wanaajiri kwa niaba. Ambao tulioitwa kuhudhuria written interview hii jumla ni 282. Tulioweza hudhuria tulifika kwa mfano mie nimetoka mkoani lkn wapo ambao hawakuweza hudhuria ni kawaida hutokea.

MALALAMIKO NA KILIO CHANGU CHANGU

  • Tuliitwa 282 kwa nafasi ya COORDINATOR II lakini tuliofika pale ni kama 170 kwa kukadiria.
  • Matokeo yametoka leo yanaonyesha kwamba tuliohudhuria na kufanya mtihani ni 286. Sasa tuseme tulihudhuria wote kufanya ile interview, swali je hawa WANNE(4) waliozidi wametokea wapi yaani 286 kutoa 282 wapata nne.
Sasa ndugu zangu watanzania hapo utagundua kwamba kuna mchezo wafanyika na hawa jamaa ambao tuliwaamini kwamba hata sie watoto wa wakulima twaweza pata ajira za serikali.

Kwakuhitimisha ili tusichoshane kwa maelezo marefu
  • Kuna watu wanakuwa wameandaliwa kwa ajili ya hizi kazi, hawa wanne(4) walizozidi utumiishi watueleze wametokea wapi.
  • Nadhani pia hawasahishi mitihani vizuri, hisia zangu kinachofanyika ni ukadiriaji tu wa maksi.
  • Watahiniwa hawakuhudhuria wote kwanini sasa matokeo yatoke kuzidi hata idadi halisi ya walioitwa kuhudhuria interview yenyewe.
Kama kuna watu mmewaanda kwa ajili ya hizi kazi basi muwape tu kuliko kutusumbua kutoka mikoani, MNAKERA KWAKWELI.

NIMEAMBATANISHA MAJINA YA SHORTLISTED NA MATOKEO KWA NAFASI YA COORDINATOR II KAMA USHAHIDI WA TUHUMA NILIZOZILETA, KUMBUKA NIMETAJA NAFASI YA COORDINATOR II PEKEE
Nilikuwepo jana hiyo, hayo maswali yote research yan bora wangetuambia tusome topic ya research tu. Tujaribu next time
 
Utumishi hawawezi kufanya mchezo wa kitoto kama unavyofikiri hawa kuwa wanataka kuwapachika kama unavyodai wangesema tu walikuwepo kwenye database then wakapewa barua za kuripoti kituo cha Kazi chamsingi ulipaswa kujiandaa vyema tu acha kulalamika vitu ambavyo havina mashiko
Hivi kwani ni lazima uamini?
 
I was there for Ispector II post,daah hawa jamaa...
Anyway wacha nisiendelee

Funguka tu kaka ili wahusika walijue hili pamoja na job seekers wengine wajue changamoto za utafutaji wa ajira za serikali uilvyo
 
Sasa mkuu waliozid hapo ni wanne tu au 287-170 ? Si umesema waliofanya pepa ni 170 tu?
 
Back
Top Bottom