MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,092
- 2,270
Swala la kuwa na madhara au kutokuwa na madhara inategemeana na umuhimu wa hivyo vitu unavyofatilia mitanndaon.
1.kuna vitu ni vya muhimu ila havihitaji uharaka(mf.kufanya mazoez, kusoma vitabu,kuboresha mahusiano yako na watu n.k)
2.kuna vitu ni vya muhimu na vinahitaji uharaka(mf.kupokea simu za kazi,kujibu barua za kazi,kuapply kazi,n.k)
3.kuna vitu siyo vya muhimu na havihitaji uharaka(kupiga umbea,udaku,porn n.k)
4.kuna vitu ni siyo vya muhimu na vinahitaj uharaka(mf.kuwah kuangalia video za zuchu na kina diamond youtube,connection za ajabuajabu)
Unashauriwa muda wako mwingi uutumie kwenye namba moja na mbili
Kuna app inaitwa stayfocused hiho itakusaidia kuzuia matumiz mabaya ya simu na inakusaidia kufanya mambo yako ambayo ni muhimu
1.kuna vitu ni vya muhimu ila havihitaji uharaka(mf.kufanya mazoez, kusoma vitabu,kuboresha mahusiano yako na watu n.k)
2.kuna vitu ni vya muhimu na vinahitaji uharaka(mf.kupokea simu za kazi,kujibu barua za kazi,kuapply kazi,n.k)
3.kuna vitu siyo vya muhimu na havihitaji uharaka(kupiga umbea,udaku,porn n.k)
4.kuna vitu ni siyo vya muhimu na vinahitaj uharaka(mf.kuwah kuangalia video za zuchu na kina diamond youtube,connection za ajabuajabu)
Unashauriwa muda wako mwingi uutumie kwenye namba moja na mbili
Kuna app inaitwa stayfocused hiho itakusaidia kuzuia matumiz mabaya ya simu na inakusaidia kufanya mambo yako ambayo ni muhimu