chaliko
Senior Member
- Apr 1, 2019
- 180
- 802
" Ndugu zangu tufanye Kazi huku tukimtanguliza MUNGU na kuchukua tahadhari dhidi ya Ugonjwa huu wa .....". Sauti ya mtu mmoja hivi ilisikika.
Hee... kabla ya hapo Baba mwenye Nyumba si alisikia kuna nanihi... kwenye ile Nyumba anayokaa kule nanihi.... Siku chache tu akatoka nduki..... Hadi Nyumba jirani ambako pia ni makazi yake. Alipofika kule akatufariji na Kumtumainia MUNGU. Maneno yake nimeyalonga hapo juu.
Kesho yake nikasikia Kaka Mkubwa akiwaasa wasaidizi wake mananihi........ kuweka mpira kwapani wakati huu wa nanihi...... Kwani ni hatari kwa afya zao.
Sijakaa sawa, naona picha za mnato na video Baba mwenye nyumba anazunguka Mlima akiwa kwenye nyumba Jirani. Mweee....
Mama Mkubwa ndiyo hasikiki kabisa... wakati huu wa ....... Kudadeki, sijui kaamua kuvuka maji ili aka jiloki dauni. Kama hajavuka maji basi atakuwa ameamua kujiloki dauni hukuhuku.
Yerewii.... kule kwa Mh. wa kupiga wenzake marungu nasikia muda wa meeting umepunguzwa pia wananihi....... wetu wataingia kwa shift ili kupunguza msongamano.
Khaa... Baba mwenye Nyumba si kaamua kukimbia na Nyumba jirani, kaelekea masafa marefu kule nanihii.... ambako alionekana anakunywa nanihii.
.. na mtu aliyegeuza nanihi... yenye nembo ya nanihii.....
Unajua kwa nini kaenda kule?
Ameenda KUJI LOKI DAUNI ili asipate nanihi.....
Mimi kwa kweli nimejiuliza tu, kama;
BABA - AMEJILOKI DAUNI
MAMA MKUBWA - AMEJILOKI DAUNI
KAKA MKUBWA NA WASAIDIZI WAKE - WAMEJILOKI DAUNI
Na siyo KUJI LOKI DAUNI TU, pia wametia mpira kwapani.
Wakubwa wame-jiloki dauni na kuweka mpira kwapani halafu sisi wadogo wanatuambia TUCHAPE KAZI huku TUKIMUOMBA MUNGU.
Mwee.... mwee... mweee....
Najiuliza "UTU UKO WAPI?"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hee... kabla ya hapo Baba mwenye Nyumba si alisikia kuna nanihi... kwenye ile Nyumba anayokaa kule nanihi.... Siku chache tu akatoka nduki..... Hadi Nyumba jirani ambako pia ni makazi yake. Alipofika kule akatufariji na Kumtumainia MUNGU. Maneno yake nimeyalonga hapo juu.
Kesho yake nikasikia Kaka Mkubwa akiwaasa wasaidizi wake mananihi........ kuweka mpira kwapani wakati huu wa nanihi...... Kwani ni hatari kwa afya zao.
Sijakaa sawa, naona picha za mnato na video Baba mwenye nyumba anazunguka Mlima akiwa kwenye nyumba Jirani. Mweee....
Mama Mkubwa ndiyo hasikiki kabisa... wakati huu wa ....... Kudadeki, sijui kaamua kuvuka maji ili aka jiloki dauni. Kama hajavuka maji basi atakuwa ameamua kujiloki dauni hukuhuku.
Yerewii.... kule kwa Mh. wa kupiga wenzake marungu nasikia muda wa meeting umepunguzwa pia wananihi....... wetu wataingia kwa shift ili kupunguza msongamano.
Khaa... Baba mwenye Nyumba si kaamua kukimbia na Nyumba jirani, kaelekea masafa marefu kule nanihii.... ambako alionekana anakunywa nanihii.
.. na mtu aliyegeuza nanihi... yenye nembo ya nanihii.....
Unajua kwa nini kaenda kule?
Ameenda KUJI LOKI DAUNI ili asipate nanihi.....
Mimi kwa kweli nimejiuliza tu, kama;
BABA - AMEJILOKI DAUNI
MAMA MKUBWA - AMEJILOKI DAUNI
KAKA MKUBWA NA WASAIDIZI WAKE - WAMEJILOKI DAUNI
Na siyo KUJI LOKI DAUNI TU, pia wametia mpira kwapani.
Wakubwa wame-jiloki dauni na kuweka mpira kwapani halafu sisi wadogo wanatuambia TUCHAPE KAZI huku TUKIMUOMBA MUNGU.
Mwee.... mwee... mweee....
Najiuliza "UTU UKO WAPI?"
Sent using Jamii Forums mobile app