Utotoni watu wamelamba sana hii

Utotoni watu wamelamba sana hii

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
attachment.php
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1396117357.341237.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1396117357.341237.jpg
    46.3 KB · Views: 970
mi nilikuwa napenda zile za ukwaju.rangi yake zinakuwa kama za kahawia.
 
Hata mama zao wakiwa katika harakati za kuwaleta duniani!

Nakumbuka skuli nkishakununua kachori na badia yenye chatne ya mapilipili napozea na hiyo

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
hahahahaha umenikumbusha mbali wewe primary school nilikuwa nakula hata tano per day
 
Back
Top Bottom