Utoroshaji wanyama hai, Ikulu ya Kikwete yahusika

Utoroshaji wanyama hai, Ikulu ya Kikwete yahusika

...tunayataka wenyewe watanzania, hamna kinachoweza kubadilika kwenye hii nchi kama hatutaliondoa hili lichama liloshikilia serikali na kulizikia mbali hili likatiba libovu.
Tatizo wameshasoma nyakati mdogo mdogo wanaingia upinzani kwa gear za kuikashifu iliyowalea na huko wanapokelwwa kwa mikono miwili bila kuchujwa hivyo hayo mabadiliko yasahau hivi karjbuni kutufikka
 
Ni aibu sana kwa jeshi la polisi kutumiwa na Mafisadi. Wote waliohusika wawajibishwe hata kama wamestaafu. Ni aibu kubwa kwa nchi!
Jeshi la Polisi halina tatizo. Wamhekataaje amri kutoka juu?

Hapa watanzania mdipo waelewe JF ni kisima. Wakati wa sakata hili kulikuwa na mjadala na kati ya yaliyozungumzwa ni kuhusu ndege ya kijeshi ilivyoingia nchini bila mamlaka husika 'kujua'

Watu walihoji sana kuhusu suala hilo na kwamba, hivi tukiwa na wizara ya ulinzi na usalama, na wizara ya mambo ya ndani, ndege ya nchi nyingine tena ya kijeshi inaingiaje bila ruhusu kutoka maeneo?

Leo ukweli upo wazi mchana kweupee

Hili linawezekana kwasababu moja kubwa, vyombo vyoote vya dola vinamilikiwa na 'mtu mmoja' na maswahiba wake. Nani atamgusa mkuu wa utumishi serikalini? Ndio mfumo wetu na tunaposema mfumo hawatuelewi, taratbu tu wataelewa

Awamu ya nne imelimaliza sana taifa hili, inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom