Utoroshaji wanyama hai, Ikulu ya Kikwete yahusika

Utoroshaji wanyama hai, Ikulu ya Kikwete yahusika

Kuna muda huwa najiwazia ni bora nchi ijulikane inaenda kinyume na haki za binadamu kuliko tunacho fanyiwa. Yaani ni mala 100 mtu akijulikana kama hawa wany'ongwe kwenye haraiki ya watu au kupigwa risasi. Bora tuwe kama china tu.

Hao ambao wataitajika kupitisha iyo sheria ya aliefanya ufisidi ktk nchi anyongwe, Ndio hao hao miongoni mwao ambao wataitajika wanyongwe
 
...tunayataka wenyewe watanzania, hamna kinachoweza kubadilika kwenye hii nchi kama hatutaliondoa hili lichama liloshikilia serikali na kulizikia mbali hili likatiba libovu.
 
Hao ambao wataitajika kupitisha iyo sheria ya aliefanya ufisidi ktk nchi anyongwe, Ndio hao hao miongoni mwao ambao wataitajika wanyongwe
Hapo ndo shida inaanzia. Ndo maana kwenye comment zangu nimesema bora nisingezaliwa tanzania. Maana ata katiba baada ya kujua itawabana wakaamua kupiga chini. Hawa watu wako under personal interest
 
Yaani hii nchi tunaishia tu kujisifia kuwa tunamalia asilia lakini ki uhalisia hatuna kitu
 
JK kala wanyama sana huyu mswahili.
Hajui thamani ya kitu, yeye anaona wapo watazaliana tu ngoja nimpunguzie jamaa yangu pale Qatar nae awe na wanyama ila hajui anachoharibu hapo.

Mswahili ni kitu cha kijinga sana
 
...na hao waandishi wa habari (wanaoitwa sasa vidagaa) sielewi ilikuaje wakamdhamini huo dalali... yani mtu anaonyesha ni mpiga dili wa kimataifa, wapi na wapi hao waandishi wa habari kumdhamini? Pia nashangaa, kwani uandishi wa habari (investigative journalism) si ni kama act of policing tu? sasa wapi na wapi kumdhamini mtu mnae muhisi anahusika na uhalifu?
 
Kwa kweli Rais wa awamu ya nne alituangusha sana .Analaumiwa kila kona
 
Katika hali iliyoashiria kuwa kulikuwa na maigizo katika suala hilo, aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz, aliwaambia waandishi wa habari kuwa walikuwa wanamtafuta mtuhumiwa huyo na walikuwa wanashikilia hati yake ya kusafiria

Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma, kwanini wanamtafuta mtu wanayejua fika kuwa wao walihusika kufanikisha biashara yake na pia kumtorosha

Magufuli aanze na hao maofisa wa Ikulu kama aliyetangulia aliona POA TU tunataka tuone haki ikitendeka
 
....Hapa kwa kuwa wizi huu umedhihirika kwanini sasa wasikamatwe viongozi wa wizara husika wakati huo? ....tunafikirije kupambana na ufisadi kama watu hawakamatwi?...kama inavyofanyika sasa kwamba waziri ama kiongozi wa wizara ama idara husika anawajibishwa kwa madudu ya idara/wizara yake...vipi basi wahusika wa idara husika kwenye wizi huu wasikamatwe retrospectively?.... Kwamba waziri/mtumishi husika ofisi yake ilihusika na wizi huu kwanini wasikamatwe?.....hata kama alikuwa mtu wa ikulu na anakula pension akamatwe...hivi ndivyo tutashinda ufisadi....

...kuhusu rais na uhusika wake....kuna mengi sana kwenye utawala uliopita yalisemwa... ..nasema ifike wakati sasa ili kuweka uwajibikaji wa watawala kwa matendo yao wawapo madarakani...basi ile kinga yao dhidi ya kashtakiwa iondolewe...na hili linawezekana tu kwenye katiba... Na jambo hili lilikuwemo kwenye rasimu ya warioba ccm wakaliondoa...Ni kwa kumshtaki rais tu tunaweza kuweka discipline ikulu..hili la wanyama ni moja tu....je tusiyoyajua?...
 
Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma, kwanini wanamtafuta mtu wanayejua fika kuwa wao walihusika kufanikisha biashara yake na pia kumtorosha

Magufuli aanze na hao maofisa wa Ikulu kama aliyetangulia aliona POA TU tunataka tuone haki ikitendeka
Nawee unadhani wanamtafuta kweli? Hiyo ni startment tu baada yakuulizwa....Utamtafutaje mhalifu uliemsaidia kutoroka
 
JK amehusika vipi hapo? Na huyo mpakistani alikua na vibali vyote na alishalipia kila kitu sasa kosa lake liko wapi? Hii ni biashara kama biashara zingine, hakuna kosa lililo fanyika hapo.
 
Duh! yani hata kama taratibu zote zingefatwa, na biashara yote ikawa halali na bila rushwa, unawezaje kuuza wanyama 130 wa aina 14 tofauti kwa shilingi 11,709,040/=? Hii si bei ya ng'ombe kama 11 tu? Kuna sehemu nimeona mbwa aina ya American Pitbull akiuzwa dola 50,000 (yani zaidi ya shilingi milioni 100).

Hii ni kufuru!
Hapo hata Mimi nimechoka kabisa, Wanyama 130 kwa hiyo pesa?
 
...tunayataka wenyewe watanzania, hamna kinachoweza kubadilika kwenye hii nchi kama hatutaliondoa hili lichama liloshikilia serikali na kulizikia mbali hili likatiba libovu.
Sasa tutaliondoa je ili hali hata wale wa upande wa pili nao walituletea yale yale yaliyokuwa kwenye system?
 
Back
Top Bottom