Shebbydo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,176
- 1,939
- Thread starter
- #41
Hao waandishi nao walikuwa na Maslahi binafsi, mimi hata siwaonei huruma....na hao waandishi wa habari (wanaoitwa sasa vidagaa) sielewi ilikuaje wakamdhamini huo dalali... yani mtu anaonyesha ni mpiga dili wa kimataifa, wapi na wapi hao waandishi wa habari kumdhamini? Pia nashangaa, kwani uandishi wa habari (investigative journalism) si ni kama act of policing tu? sasa wapi na wapi kumdhamini mtu mnae muhisi anahusika na uhalifu?