Utoroshaji Tanzanite umenikumbusha maneno ya mchimbaji huyu

Siwezi kubishana na Mh Rais ila na bishana na wapambe nuksi walio mfanya asema siku za maombolezi ni 14 wakidhani ni kumkomoa marehemu kumbe Kikatiba ni siku 21 zilizoisha jana.

Wanao mdanganya Mh Rais kuwa baadhi ya wafanyabiashara walioingia kwenye mshikemshike wa kudaiwa lodi kimaguvu na kimabavu bila kutumia akili ni watakatifu kuliko malaika wa Mungu wa Mbinguni na wamedhulumiwa jasho lao. Hivi huyo Mfanyabiashara aliye kuja na private jet kutaka kuyatengeneza mambo ya kodi akazenguliwa na kuondoka ni nani? Mbona hatajwi jina jamii ikmjua huyu mfanyabiashara mtakatifu.
Dangote
 
Pamoja na kuwepo kwa Underground Tunnels za kutosha lakini haijawazuia wamarekani kujenga Ukuta kati yake na Mexico...

Kitaalam tunasema risk can never be eliminated, it can only be reduced to an acceptable level...Ujenzi wa ukuta haukua intended kumaliza tatzo la utoroshaji wa Tanzanite bali kupunguza ukubwa wa tatzo.

Tunapojicheka kwa kujenga ukuta basi ni bora tuwacheke na Wamarekani pia..
ni hilo tu ndugu zangu.
Kabisa pia aliweka mazingira sahihi na salama kwa wauzaji wa madini... Kwa kuwa na masoko ya kuuzia.
Walao hata nchi inafaidi tofauti na zamani.
 
Hotuba ya mama ya jana unaweza kuchukulia mkopo benki. Ni hotuba ya karne!
Ni mapema sana " kushobokea ".. muhimu tusubiri matokeo ya utekelezaji wake.

Kikubwa tumuunge mkono kwa kutekeleza wajibu wetu na kumwombea

JMT....Kazi iendelee
 
Nia ali
Kuna mwanasiasa amesema kuwa kiongozi aliyetutoka alikuwa SHUJAA ALIYEPITWA NA WAKATI

Nia alikuwa nayo njema na rasilimali zetu lakini mbinu alizotumia kuzipambania rasilimali zetu ni za

Kuna mwanasiasa amesema kuwa kiongozi aliyetutoka alikuwa SHUJAA ALIYEPITWA NA WAKATI

Nia alikuwa nayo njema na rasilimali zetu lakini mbinu alizotumia kuzipambania rasilimali zetu ni za kizaman

Kuna mwanasiasa amesema kuwa kiongozi aliyetutoka alikuwa SHUJAA ALIYEPITWA NA WAKATI

Nia alikuwa nayo njema na rasilimali zetu lakini mbinu alizotumia kuzipambania rasilimali zetu ni za kizamani!
Na unaweza kuta huyohuyo kiongozi aliyesemà hvyo ni mmoja wapo wa wale waliompa hizo mbinu anazoziita za kizamani wana siasa wanafiki sana,RIP Jpm
 
Ni mapema sana " kushobokea ".. muhimu tusubiri matokeo ya utekelezaji wake.

Kikubwa tumuunge mkono kwa kutekeleza wajibu wetu na kumwombea

JMT....Kazi iendelee

Tuna pata kigugumizi tumuombee kwa jina lipi, allah, Yesu ama JMT. Huwezi tumia vyote hivi kwa pamoja kupata connection sahihi.
 
Labda ulikua mpango wa serikali yenyewe ya awamu ya 5,juu imefunga chini yenyewe ndo inafanya .

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Upigaji hautokwisha biashara ya madini ni biashara yenye utajiri mkubwa vita yake ni kubwa unaweza hisi unapigana vita na mataifa ya nje kumbe hata watu wa ndani mwako wapo vitani kupigana na wewe ninkwa ajili.ya maslahi yao binafsi
 
Miaka kadhaa iliyopita, Barrick walikuwaga na mpango wa kuunganisha migodi yao underground. Sijui lilifikiaga wapi, sasa wewe unayesema haliwezekani kaa chonjo
 
Hivi huo ukuta umejengwaje kama chini yake kulikua na njia ya kupitika?

Angesema wanakula deal na walinzi au maafisa wengine wa madini ningeelewa.
 
Mara nyingine sisi Watanzania tuwe na tabia ya kushukuru kwa hata dogo la maana linapofanywa. Nia ya kujenga ukuta ilikuwa ni thabiti na ya kueleweka kuwa ifikie mahali dunia ifahamu Tanzania ndiye mwenye Tanzanite na sio India ama Kenya kama ilivyokuwa.

Mwendazake alikosea kwenye ufanyaji biashara wa madini kwa kuwalazimisha wachimbaji na wafanyabiashara wa madini kuuzia hapa hapa tena kwa bei isiyoakisi thamani ya madini yale. Nilidhani Mwendazake angeiona fursa ya kuanzisha soko kubwa sana la vito kama lililopo Dubai. Sidhani kama kuna mtu angefikiria kutorosha.
 
CDF ajitathmini,aonyeshe mfano. JPM alikua anawasema wengine, huyu kampandia hadi CDF.

Kwakweli yeye na wenzake, wawajibike, ni fedheha, nadhani JPM hakua anajua kama udhaifu huo upo, angewawajibisha.
Mnapomjadili CDF kuweni na kiasi. huyo siyo mgambo mlizoea kuwasema mtakavyo. Jadilini kwa staha bila kumhusisha. Ni ushauri tu
 
vyombo vyetu vya ulinzi usalama mpo na mnaachia kweli madini yetu yakiimbiwa kwa style nyingine?!

chonde chonde vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ongezeni nguvu na mbinu kulinda rasilimali zetu
 
Kama wanajua hilo, wanashindwaje kufix tatizo? Mama nae anaanza kutupiga fix tu.
 
Ni hivi.. umezungushwa ukuta sawa, lakini uchimbaji huhusisha utafutaji wa mali mielekeo tofauti tofauti chini kwa chini hivyo kuzaa mahandaki marefu ambayo yanavuka usawa wa ukuta umbali mrefu tu.. sasa kama unataka kutoroshea hukohuko unashindwa?
haiwezekani hakuna mtengo unaoweza kupiga kwa kuelekea chini halafu uchimbe kwa kuelekea juu(mantapaa) kwa urefu huo
 
kwenye machimbo yoyote ya madini iwe migodi mikubwa au midogo suala la madini kuibiwa ni lazima tu, Yaani hata ufanyeje lazima watu wakupige na sehemu ambazo madini yanapita au kutolewa ni sehemu ambazo wala huwezi kuwazia kabisa, kwa ufupi tu ili serikali ifanikiwe lazima kuwepo na mazingira mazuri kati ya wachimbaji wazawa na serikali kidogo inaweza kupunguza wizi ila tatzo haliwezi kuisha never ever
 
Back
Top Bottom