Risasi kama mvua enzi za mwendazake endapo ungesema ukweli. Bora walikaa kimya enzi hizo ili waje waseme ukweli enzi hizi!Inasikitisha kusikia kua hata taarifa za kutoroshwa madini tumekuja kuzipata baada ya kifo cha mwendazake
Ilikuwa ni dhambi kubwa kiasi gani kuongea ukweli kwenye utawala uliopita?
Unabishana na rais aliyosema hayo jana?
Katamka rais sisi tunaongeza nyama tuu
One thing for sure.. SSH ndio rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...louder n clearerSio kweli mnaongeza nyama, pilipili, limao tangawizi na mazaga zaga yote. Hatairi iko kama yenye ndiye kaenda sokoni kuwaletea hivi vitendea kazi au kaletewa na walio tengeneza mazingira ya yeye kufika hapo sasa analipa fadhila. Shughuli ndio imeanza.
One thing for sure.. SSH ndio rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...louder n clearer
Kuna mwanasiasa amesema kuwa kiongozi aliyetutoka alikuwa SHUJAA ALIYEPITWA NA WAKATIKama kuna kitu cha kipuuzi na kijuha kilifanywa na utawala wa mwendazake ni huu ukuta.
Labda kama alijenga kudhibiti vibaka...eneo ambalo tulipigwa vibaya kwenye madini ni mikataba mibovu tuliyoingia na wapigaji na madalali nje ya nchi.
Kwa tech ilivyo advance haikuwa sahihi kabisa kujenga ule ukuta
Hapa hatuangalii watakatifu wala mashetani.., tunaangalia haki, utu na sheria, hata kama ni majambazi kuna taratibu za ku-deal nao.., sababu hata huyo mtumia mabavu na maguvu ni myanganyi tu.., Two Wrongs does not make a Right...Siwezi kubishana na Mh Rais ila na bishana na wapambe nuksi walio mfanya asema siku za maombolezi ni 14 wakidhani ni kumkomoa marehemu kumbe Kikatiba ni siku 21 zilizoisha jana.
Wanao mdanganya Mh Rais kuwa baadhi ya wafanyabiashara walioingia kwenye mshikemshike wa kudaiwa lodi kimaguvu na kimabavu bila kutumia akili ni watakatifu kuliko malaika wa Mungu wa Mbinguni na wamedhulumiwa jasho lao. Hivi huyo Mfanyabiashara aliye kuja na private jet kutaka kuyatengeneza mambo ya kodi akazenguliwa na kuondoka ni nani? Mbona hatajwi jina jamii ikmjua huyu mfanyabiashara mtakatifu.
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.Habari Wakuu,
Madam President anasema pamoja na liukuta likuubwa na ulinzi wa mabunduki wa JWTZ (na makamera) "MADINI YANATOROSHWA KAMA KAWAIDA CHINI KWA CHINI"
Hili limenikumbusha maneno ya mchimbaji mdogo wa madini hayo alipokuwa anatupa visa vya utoroshwaji madini machimboni.
Ilikuwa ni siku chache baada ya kuzinduliwa Ukuta wa Mirerani, mimi nikamwambia umejengwa ukuta sasa utoroshwaji umefika mwisho.
Cha kunishangaza jamaa alicheka sana!
Akaniambia kuwa kwenye machimbo huwa kila mtu ana njia yake anayopita akichimba huko chini hivyo ukuta ule ni kituko tu kwani hizo njia zinatoka nje ya ukuta kupitia chini kwa chini bila walinzi kuwa na habari.
Naona ndio wanaligundua hili leo.
Ushauri wangu: Kwenye ulinzi wa rasilimali zetu kama madini Serikali isijikite tu kwenye bunduki za wanausalama, ijenge urafiki na ushirikiano na wachimbaji hasa wadogo itajua siri nyingi za utoroshwaji madini.
Hujui kitu ww unaropoka tuNi hivi.. umezungushwa ukuta sawa, lakini uchimbaji huhusisha utafutaji wa mali mielekeo tofauti tofauti chini kwa chini hivyo kuzaa mahandaki marefu ambayo yanavuka usawa wa ukuta umbali mrefu tu.. sasa kama unataka kutoroshea hukohuko unashindwa?
Siwezi kubishana na Mh Rais ila na bishana na wapambe nuksi walio mfanya asema siku za maombolezi ni 14 wakidhani ni kumkomoa marehemu kumbe Kikatiba ni siku 21 zilizoisha jana.
Wanao mdanganya Mh Rais kuwa baadhi ya wafanyabiashara walioingia kwenye mshikemshike wa kudaiwa lodi kimaguvu na kimabavu bila kutumia akili ni watakatifu kuliko malaika wa Mungu wa Mbinguni na wamedhulumiwa jasho lao. Hivi huyo Mfanyabiashara aliye kuja na private jet kutaka kuyatengeneza mambo ya kodi akazenguliwa na kuondoka ni nani? Mbona hatajwi jina jamii ikmjua huyu mfanyabiashara mtakatifu.
Nguvu nyingi akili kisoda, ndio awajibishwe.Uweze kujenga ukuta usiweze kufuatilia njia za chini kwa chini. Nyie ni watu wa ajabu mwalidharaulisha na kulifedhehesha jeshi letu la JWTZ mbele ya jamii kwa tamaa zenu za madaraka ya kisiasa. Chagueni nini cha kuongea basi. CDF na team nzima ya ulinzi na usalama iwajibishwe kwa uzembe huu mnaotuaminisha.
Hotuba ya mama ya jana unaweza kuchukulia mkopo benki. Ni hotuba ya karne!Inasikitisha kusikia kua hata taarifa za kutoroshwa madini tumekuja kuzipata baada ya kifo cha mwendazake
Ilikuwa ni dhambi kubwa kiasi gani kuongea ukweli kwenye utawala uliopita?
Hapa hatuangalii watakatifu wala mashetani.., tunaangalia haki, utu na sheria, hata kama ni majambazi kuna taratibu za ku-deal nao.., sababu hata huyo mtumia mabavu na maguvu ni myanganyi tu.., Two Wrongs does not make a Right...
dangote