Utofauti uliopo katika biashara ya cryptocurrency na forex

Utofauti uliopo katika biashara ya cryptocurrency na forex

maliselo22

Member
Joined
May 18, 2017
Posts
72
Reaction score
52
1.Mwendo wa soko 😉
Soko la cryptocurrency kwa kawaida lina kasi kubwa au mzunguko mkubwa kulinganisha na forex
kwa mfano bitcoin inaweza kupanda bei kwa lisa na kushuka bei kwa lisa,hivyo basi kuna faida yake na hasara yake.lakini kwa upande wa forex soko mwendo wa soko upo taratibu ,lakini inategemeana na pair ulizo chagua
2.Faida ya kustaki
Cryptocurrency ina faida kubwa sana ya kustaki ukilinganisha na forex,unaweza kustaki eos au ethereum kwa muda wa miaka miwili au mitatu ukajizalishia pesa nyingi sana bila ata ya kufanya kazi lakini kwenye forex kitu hicho hakuna.Lakini kwenye cryptocurrency pesa inaweza kudidimia lakini pia inajirudi .kitu cha muhimu ni uvumilivu katika biashara hii usiwe na haraka ya kupata pesa kwa haraka katika biashara cryptocurrency
3.Riski
Kwa forex riski ni asilimia 100% lakini kwa cryptocurrency riski inaweza kuzuilika ukiwa na elimu ya coin husika na usalama wake.na miundo mbinu yake.
4.Utabiri wa masoko
Kwa forex ,huwa unafanya technical analysis kufanya utabiri pia kwa crypto ni hivyo hivyo lakini kuna channel muhimu kwa taarifa za masoko ukilinganisha na forex hivyo crypto zinategemea news sana kuliko tabia ya soko.kwa hio ni rahasi kuchambua soko ukiwa unajihusisha na cryptocurrency.
5.Miundo mbinu ya kibiashara
Katika forex miundo mbinu huwa ni changamoto kwa sababu inategemea na blocker lakini crypto miundo mbinu yake ni rafiki kwani inakuwezesha kumiliki kiasi chochote na mahali popote kulinganisha na forex .blocker wanasheria zao za kigharama na kimahali pia.
 

Attachments

  • IMG_20180830_155540_216.jpg
    IMG_20180830_155540_216.jpg
    66.8 KB · Views: 160
  • IMG_20180829_150445_691.jpg
    IMG_20180829_150445_691.jpg
    40.2 KB · Views: 144
  • IMG_20180829_173341_839.jpg
    IMG_20180829_173341_839.jpg
    31.6 KB · Views: 142
Mbona inasemekana Bitcoin ni scam au wasioijua ndo wanasema hivyo?
 
Nikitaka kujiunga nanzia wp

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri jiunge na cryptocurrency nyingine ambazo zinakaribia kuingia public maana utanunua kwa bei nafuu na ukiingia public unatusua fedha nzuri.Bitcoin ni but kwa mwanzaji ni so expensive nk ! Nakushauri nunua "one coin" / google hilo neno utapata maelezo na video poa kabisa,almost five months to come itaingia kwenye public use/ ushauri wangu tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Mwendo wa soko 😉
Soko la cryptocurrency kwa kawaida lina kasi kubwa au mzunguko mkubwa kulinganisha na forex
kwa mfano bitcoin inaweza kupanda bei kwa lisa na kushuka bei kwa lisa,hivyo basi kuna faida yake na hasara yake.lakini kwa upande wa forex soko mwendo wa soko upo taratibu ,lakini inategemeana na pair ulizo chagua
2.Faida ya kustaki
Cryptocurrency ina faida kubwa sana ya kustaki ukilinganisha na forex,unaweza kustaki eos au ethereum kwa muda wa miaka miwili au mitatu ukajizalishia pesa nyingi sana bila ata ya kufanya kazi lakini kwenye forex kitu hicho hakuna.Lakini kwenye cryptocurrency pesa inaweza kudidimia lakini pia inajirudi .kitu cha muhimu ni uvumilivu katika biashara hii usiwe na haraka ya kupata pesa kwa haraka katika biashara cryptocurrency
3.Riski
Kwa forex riski ni asilimia 100% lakini kwa cryptocurrency riski inaweza kuzuilika ukiwa na elimu ya coin husika na usalama wake.na miundo mbinu yake.
4.Utabiri wa masoko
Kwa forex ,huwa unafanya technical analysis kufanya utabiri pia kwa crypto ni hivyo hivyo lakini kuna channel muhimu kwa taarifa za masoko ukilinganisha na forex hivyo crypto zinategemea news sana kuliko tabia ya soko.kwa hio ni rahasi kuchambua soko ukiwa unajihusisha na cryptocurrency.
5.Miundo mbinu ya kibiashara
Katika forex miundo mbinu huwa ni changamoto kwa sababu inategemea na blocker lakini crypto miundo mbinu yake ni rafiki kwani inakuwezesha kumiliki kiasi chochote na mahali popote kulinganisha na forex .blocker wanasheria zao za kigharama na kimahali pia.
Umeielezea vizuri sana. Big up.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikitaka kujiunga nanzia wp

Sent using Jamii Forums mobile app
kiongozi kwanza naomba nikurekebishe kuwa huwezi kujiunga na bitcoin kusema hivyo ni sawa na kusema nikitaka kujiunga na shilingi ya tanzanani naanzia wapi.

tambua kwanza BITCOIN ni sarafu ya kidijitali yaani inakusaidia kufanya yale yooote uwezayou kuyafanya na pesa yoyote ile. Baada ya kutambua hili basi jiulize sasa je kuna muamala wowote ungependa kuufanya kwa kutumia sarafu hii kama jibu ni ndio basi utabidi ufanye yafuatayo:

Pakua application iitwayo blockchain kwenye app store au unaweza kuingia moja kwa moja hapa blockchain.com baada ya hapo fungua account yako kam vile ufunguavyo facebook account. hapa utakua umepata digital wallet yako.

hatua ya pili ni kununua bitcoin sasa, hizo utazipata hapa remitano.co au localbitcoin.com nako itakulazimu kufungua account baada ya kupata bitcoin zako unaweza kuzitumia upendavyo.

bitcoin ni sarafu lakini pia inaweza kutumika kama fursa ya uwekezaji.
 
Nimesoma Forex na Cryptocurency tena kwa malipo....


Siku nyingine usirudie hata kidogo kuilinganisha Forex na cryptocurency. Naomba niishie hapo tu. Ila nakuomba usifananishe Forex na cryptocurency

Sent using Jamii Forums mobile app
sababu zikiwa ni zipi mpaka asilinganishe?
 
Nimesoma Forex na Cryptocurency tena kwa malipo....


Siku nyingine usirudie hata kidogo kuilinganisha Forex na cryptocurency. Naomba niishie hapo tu. Ila nakuomba usifananishe Forex na cryptocurency

Sent using Jamii Forums mobile app
Embu taja daily return ya cryptocurrency ,tuanzie hapo kwanza.taja cryptocurrency ilianza lini, tuendelee....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma Forex na Cryptocurency tena kwa malipo....


Siku nyingine usirudie hata kidogo kuilinganisha Forex na cryptocurency. Naomba niishie hapo tu. Ila nakuomba usifananishe Forex na cryptocurency

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata shule watu walisoma kwa malipo makubwa na wakazungusha so kusema malipo hakunitishi .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom