Utofauti uliopo katika biashara ya cryptocurrency na forex

Utofauti uliopo katika biashara ya cryptocurrency na forex

Je kuna utofauti gani kati ya forex na bitcoin na je ni biashara gani kati ya hizo ni rahisi kufanya na inakupaje pesa na je nashauriwa kufanya biashara ip kati ya hizo mbili??
 
ni biashara mbili tofauti kabisa ila zinafanana kitu kioja kwamba wanaoziendesha ni matapeli 95%
 
Je kuna utofauti gani kati ya forex na bitcoin na je ni biashara gani kati ya hizo ni rahisi kufanya na inakupaje pesa na je nashauriwa kufanya biashara ip kati ya hizo mbili??
Forex ni biashara ya Jumla ya ku deal na Upandaji na Ushukaji wa thamani ya Currencies mbalimbali. Unanunua Currency fulani ikiwa na value ndogo unakuja kuiuza ikiwa na value kubwa. Bitcoin ni currency mojawapo katika hizo currencies unazo cheza nazo kwenye Forex. Kwa hiyo Bitcoin ipo ndani au ni sehem ya Forex.

Ila Bitcoin imekua maarufu kuliko currencies zingine sababu ya value yake, ilishawahi kufika mpaka 40mil+ kwa Bitcoin 1 nadhan. Yote ya yote biashara hizi zina utapeli mkubwa sana. Unaempa hela zako akuwekee ni mtu humjui, akikukimbia huna pa kumpata. Na hata asipokukimbia anaweza kukwambia umeliwa lakin yeye hapo hapo kwnye kuliwa kwako yeye ame gain.
 
Kwa watumiaji wa TemplerFx Tuma email hii sasa bila kuchelewa"tuma email kwenda support@templerfx.com,andika ivi please make my account under the agent 123796 my account no is andika no yako ya account ya mt4 bila password.Spread the Love. kwa maelekezo zaidi nicheck +255767913761(whatsapp only)
 
Nakushauri jiunge na cryptocurrency nyingine ambazo zinakaribia kuingia public maana utanunua kwa bei nafuu na ukiingia public unatusua fedha nzuri.Bitcoin ni but kwa mwanzaji ni so expensive nk ! Nakushauri nunua "one coin" / google hilo neno utapata maelezo na video poa kabisa,almost five months to come itaingia kwenye public use/ ushauri wangu tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo jinsi ya kujiunga unaanzaje na wapi hyo cryptcon
 
Wakubwa naombeni msaada jinsi ya kujiunga na bitcoin trade maana nimesoma mdahalo mpaka natamani kujua zaidi
 
Nzuri Hiyo
Msaada wajanja tafadhali
Forex nadhani inajulikana Sasa kuna jamaa tulikuta njiani Akanijulisha aniunge aina ingine yaaani Forex East africa investment ww una relax unafanyiwa tu
Faida 3000 - 5000 kwa siku, mawasiliano naona atupatani kwaanaye jua pleeeez ni kweli iikitu ipo nilipenda maelezo yake ni fursa pia.
 
Uwe na akiba ya Maneno mkuu usione kwamba mawazo yako yatakuwa sahihi siku zote kwa asilimia 100

Sasa ni muda wa wewe kuumbuka Hahahhah
Nimesoma kila Kitu ulichoandika nathubutu kusema wewe uwezo wako kwenye financial market business ni mdogo sana tena sana.



Unaposema kwenye crypto huwezi poteza... Hivi unajua Bitcoin imewahi kufika dola 25,000?? Kwa sasa thamani yake ni dola 7000 ,hivi wale walionunua ikiwa dola 25000 unadhani hawana hasara !!!!?


Na je unajuaje kama itashuka mpaka USD 0 ,yani ifutike.


Kijana fuatilia vitu acha kufuata mikumbo.



NARUDIA TENA. WATANZANIA KITU PEKEE KINACHOTUKWAMISHA NI KUTOKUFUATILIA NEWS.


BITCOIN tangu iwe banned China na India haiweza tena kuinuka tena (Hii tunza kama kumbukumbu) ... China na India zina jumla ya watu zaidi ya billion 3 kuzuia Bitcoin ni pigo. Halafu fuatilia sababu za kupiga ban.



Kuhusu Forex sitaki niargue na wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
.

Haya watu wametunza kumbukumbu kama ulisema. Na kwa sasa Bitcoin imerudi na iko juu kabisa kwa sasa ni USD 32,000/= Una lipi la kutuambia?

Cc Kim Jong Jr
IMG_20210124_144741_015.jpeg
IMG_20210124_144756_479.jpeg
 
Nakushauri jiunge na cryptocurrency nyingine ambazo zinakaribia kuingia public maana utanunua kwa bei nafuu na ukiingia public unatusua fedha nzuri.Bitcoin ni but kwa mwanzaji ni so expensive nk ! Nakushauri nunua "one coin" / google hilo neno utapata maelezo na video poa kabisa,almost five months to come itaingia kwenye public use/ ushauri wangu tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
What if isipoingia?
 
Kwamba itaingia au haitaingia is based on forecasting tu lakini lazima iingie maana tunapata updates direct kutoka makao makuu nini kimefanyika na kipi kinaenda kufanyika na tunaona so many merchants wanauza products zao kwa coins across the world bila shida,so progress tunaiona mkuu!
What if isipoingia?
 
Kuwa na akiba ya maneno
"BITCOIN tangu iwe banned China na India haiweza tena kuinuka tena (Hii tunza kama kumbukumbu) .."

""HAIWEZI TENA KUINUKA""" hapo ndio unakosea sasa nikuulize kutoka $7000 hadi $32,000 ni KUINUKA? au ni KUKAA? au KUCHUCHUMAA? au ni KUFA kabisa?

Lastlt:
Je kwa walionunua kwa $25,000 na kwa sasa ni $32,000 Hiyo ni Gain au Loss?
 
"BITCOIN tangu iwe banned China na India haiweza tena kuinuka tena (Hii tunza kama kumbukumbu) .."

""HAIWEZI TENA KUINUKA""" hapo ndio unakosea sasa nikuulize kutoka $7000 hadi $32,000 ni KUINUKA? au ni KUKAA? au KUCHUCHUMAA? au ni KUFA kabisa?

Lastlt:
Je kwa walionunua kwa $25,000 na kwa sasa ni $32,000 Hiyo ni Gain au Loss?
Content yangu bado iko valid nakwambia tunza maneno
 
Content yangu bado iko valid nakwambia tunza maneno
Haya Njoo usiponijibu tena hii hoja basi nakuacha kama ulivyo.

Bitcoin ilivyokuwa na thamani ya $7000 kwa wale walionunua kipindi hicho wakaitunza hadi hivi sasa imefika $32,000 (four times higher) wamepata hasara au wame gaini?

Na kama kweli unajuaa vizuri hizi investments zinavyofanyika kwenye finacial market na zinavyofanya kazi (Buy Low , Sell High and vaisi vesa ) Je kosa kwa Bitcoin ku flactuate kama inavyofanya?
 
Back
Top Bottom