Karibu Tusker hapa Meridian!
Wanajf,katika pitapita yangu Kinondoni kuanzia pale vijana nimeona muendelezo wa chimbuko la bar kama uyoga,mna maoni gani kuhusu hili?
Naomba kujua tafsiri ya neno "utitiri".
wanajf,katika pitapita yangu kinondoni kuanzia pale vijana nimeona muendelezo wa chimbuko la bar kama uyoga,mna maoni gani kuhusu hili?
Wanajf,katika pitapita yangu
Kinondoni kuanzia pale vijana nimeona muendelezo wa chimbuko la bar kama
uyoga,mna maoni gani kuhusu hili?
karibu tutafune mbuzi hapa new club jacaranda
Wanajf,katika pitapita yangu Kinondoni kuanzia pale vijana nimeona muendelezo wa chimbuko la bar kama uyoga,mna maoni gani kuhusu hili?
sasa wewe hujui baa ndio zinazo endesha serikali,kama hujui nenda[tra] wa kwambie nani ni mlipaji kodi mzuri kwenye nchihi utalia ndugu,leo nilikwenda phamasi kununua dawa,akaja bwana mmoja alikua kama ana fangazi usoni imemletea vidonda sasa doctor,akampa dawa,lakushangaza huyu bwana akasikitika kweli akamwambia doc kwaiyo kweli leo sinywi pombe,doc akamwambia ndugu yangu sikwambi usinywe leo bali uiache pombe kabisa,nilishangaa sana yani mtu anajali pombe kuliko afya yake,amakweli pombe pombe itawa maliza watanzania na serikali inachekelea na kuipa matuzo [tbl]kweli mungu atunusuru wa tanzania,
hii wamefungua juz mkuu ni nzuri kwa kweli
Wanajf,katika pitapita yangu Kinondoni kuanzia pale vijana nimeona muendelezo wa chimbuko la bar kama uyoga,mna maoni gani kuhusu hili?