Utii wa mwanamke ni dawa tosha ya nguvu za kiume

"Atamwacha baba na mamaye ataambatana na mumewe" ndani kabisa ya moyo wa mwnamke kuna ndoto ya kuchukuliwa na mwanaume mtanashati na mwenye kummiliki, vile vile maisha ya mwanamke mtawala mwanaume yamejaa huzuni, wasiwasi na mapungufu unless anatawaliwa somewhere

Kumbuka kuna wanawake ambao wako very strong kiasi cha kutokuwa na wasiwasi, huzuni na kutopenda kutawaliwa. Ndoa ni "Partnership" na sio "oppression". Kumbuka Amri kubwa kuliko zote ni "Pendaneni kama nilivyowapenda mimi" Tunaambiwa Mola hakusema mmoja amtawale au amiliki mwingine. Nyote mpendane na utii na usawa 50% 50%..

".."Ukitii utakula mema ya nchi"
Lakini kumbuka Nidhamu ya woga ni sumu ya maisha! Hivyo ukifuata yaliyoandikwa bila kufikiri ni sawa na nidhamu ya woga..

UTII wa mwanamke huifullfill nafsi ya mwanume na yeye kujisikia rijali na hivyo kitohitajika nguvu mbadala ktk mapenzi-sasa tunaona mke akipendwa sana, akienziwa na hata kubembelezwa..na ni wakati huu mme anapowajibika kwa familia yake.

Utii wa mwanamke peke yake hautoshi.. Mwanaume inabidi ajue mapungufu yake. Kumbuka mwanaume ni mbinafsi toka kuzaliwa. Zaidi ya utii kwa mwanaume, mwanamke inabidi amwombe Mola amsaidie kupunguza au kuponywa ubinafsi wa Mwanaume hapo ndipo mwanaume atakapowajibika kwa familia yake..

Mashindano,ubishi na hata kumlinganisha mwanaume ni sumu isiyo na simile ktk ndoa(impotance,ubaridi,kutojiamini na KUASI)..Nimefanya utafiti kidogo nimekutana na semi za wanaume ukioa mwanamke mwenye elimu/fedha nyingi atakusumbua..

Huu ndio ubinafsi na "inferiority complex" ya mwanaume, Mwanamke amwombe Mola amponye mwanaume kwa hili..
 
I agree with you...GOD IS GOOD but the bible can be misleading!!!

pole sana lizzy kumbe hujui ya kuwa GOD whom you acknowledge is good (How I wish to know whether your GOD has a name for himself and if you can let me know Him) and yet the Bible testifies of Him you label it as misleading......................you are very spiritually disoriented..........Ukisoma John 5:39............"You search the scriptures and in them you think you have eternal life; but these they testify of Me."

Ukipitia John 5:46 "For if you believed Moses, you would believe Me, for he wrote about Me."

Ukirudi kwa Mathew 24:35 "Heaven and earth shall pass away, but My words will by no means pass away."

Ningpenda kumalizia hoja kwa kunukuu.........Jeremiah 55:11 "So shall My word be that goes forth from My mouth; it shall not return to Me void, but it shall accomplish what I please, and it shall prosper in the thing for which i sent it."

Who is the Word?

Read Revelation of Jesus Christ to know the truth................................kusema God is good but his words are misleading are signs of Anti-Christ in you....................
 
Kumbuka kuna wanawake ambao wako very strong kiasi cha kutokuwa na wasiwasi, huzuni na kutopenda kutawaliwa. Ndoa ni “Partnership” na sio “oppression”. Kumbuka Amri kubwa kuliko zote ni "Pendaneni kama nilivyowapenda mimi" Tunaambiwa Mola hakusema mmoja amtawale au amiliki mwingine. Nyote mpendane na utii na usawa 50% 50%..

Lakini kumbuka Nidhamu ya woga ni sumu ya maisha! Hivyo ukifuata yaliyoandikwa bila kufikiri ni sawa na nidhamu ya woga..



Utii wa mwanamke peke yake hautoshi.. Mwanaume inabidi ajue mapungufu yake. Kumbuka mwanaume ni mbinafsi toka kuzaliwa. Zaidi ya utii kwa mwanaume, mwanamke inabidi amwombe Mola amsaidie kupunguza au kuponywa ubinafsi wa Mwanaume hapo ndipo mwanaume atakapowajibika kwa familia yake..



Huu ndio ubinafsi na “inferiority complex” ya mwanaume, Mwanamke amwombe Mola amponye mwanaume kwa hili..

Tulizo umeandika mengi sijui kama nitakujibu vizuri au...kuna w'ke strong hawapendi kutawaliwa ina maana wamechagua kutokutii -kama ndivyo basi wanahasara kubwa kana thread inavosema....hakuna nidhamu ya woga ktk kufuata maandiko(dini zisingekuwepo), Tulizo usipomtii mumeo unawezaje kujitoaa kwake? au ndo bora liende...m'me ajue mapungufu liko kwenye wajibu ambao mtu hufundishwa/kumbushwa so unaweza mkumbusha m'me mapungufu(atimize wajbu wake) yake still ukaendelea kutii..
 
Tatizo kuna watu wanadhani kusema 'mimi nasoma biblia na kuichukulia kama ilivyo ' kunawafanya wakristo kuliko wale wanaoaminia na bado wakaona mapungufu yake.
Ni kweli maandiko hayataki tujikweze au tuwatoe vibanzi wengine...ila mrembo chonde...biblia haina mapungufu hata kidogo,tena thru it(neno) unaweza ukaishape familia yako vile unataka iwe...nimeona kwa macho walevi,kwares,majambazi,watoto tukutu wakibadilika...maana Mungu apendezwa na watakatifu waishio duniani(sasa) Lizy akiwemo...
 
Ndiyo maana tunazalishwa nyumbani tunaachwa, tunawekewa nyumba ndogo, (UTII hatuna) wanawake lazima tubadilike, ushauri mwingine hutakiwi kujiuliza.
 
pole sana lizzy kumbe hujui ya kuwa GOD whom you acknowledge is good (How I wish to know whether your GOD has a name for himself and if you can let me know Him) and yet the Bible testifies of Him you label it as misleading......................you are very spiritually disoriented..........Ukisoma John 5:39............"You search the scriptures and in them you think you have eternal life; but these they testify of Me."

Ukipitia John 5:46 "For if you believed Moses, you would believe Me, for he wrote about Me."

Ukirudi kwa Mathew 24:35 "Heaven and earth shall pass away, but My words will by no means pass away."

Ningpenda kumalizia hoja kwa kunukuu.........Jeremiah 55:11 "So shall My word be that goes forth from My mouth; it shall not return to Me void, but it shall accomplish what I please, and it shall prosper in the thing for which i sent it."

Who is the Word?

Read Revelation of Jesus Christ to know the truth................................kusema God is good but his words are misleading are signs of Anti-Christ in you....................

Ubarikiwe... kazi yako si bure mtumishi..
 
Amen! ni wazi kuwa wanawake wengi wameli miss agizo hili na hatimaye ndoa nyingi huvunjika. Utii ni saikolojia ndogo sana ambayo inaweza kumlainisha mwanaume yoyote yule ata awe mkali vipi atakuwa mpole kama kondoo na hata watu wanaweza dhani limbwata kumbe siri ni ndogo sana. utii
 
Amen! ni wazi kuwa wanawake wengi wameli miss agizo hili na hatimaye ndoa nyingi huvunjika. Utii ni saikolojia ndogo sana ambayo inaweza kumlainisha mwanaume yoyote yule ata awe mkali vipi atakuwa mpole kama kondoo na hata watu wanaweza dhani limbwata kumbe siri ni ndogo sana. utii

Kelo umetuongezea neno utii waweza tuliza dhoruba ktk ndoa...ubarikiwe
 
Dawa za Nguvu ya kiume kwa anayetaka bonyeza hapa https://www.jamiiforums.com/jf-doctor...naye-taka.html

Sababu 9 muhimu zinazo sababisha upungufu wa nguvu za kiume
Zipo sababu nyingi zinazosababisha wanaume kupungua nguvu za kiume katika hizo ni hizi zifuatazo:
1.ubugiaji wa tumbaku .
2.uvutaji wa sigara.
3.utafunaji wa mirungi.
4.unywaji wa pombe.
5.kupooza kwa mwili kunakosababishwa na maradhi.
6.ugonjwa wa kisukari.
7.kujisaidia kwa njia ya mkono. (Punyeto)
8.kuwa na mawazo kupita kiasi.
9.kufanya kazi ngumu.

Na Pia ujiepushe na moja kati ya hizi Sababu 9 zinazochangia upungufu wa nguvu za kiume.​
 
Kama issu ni responsibilities za nani kumtii nani au nani kumpenda nani (kama Mungu alivyosema!). Then vise versa is true, wanaume wanakiuka jukumu lao kubwa la uzalishaji. Wanawake walipewa reproduction role wakati Mungu alipomwambia eva kwamba kwa uchungu utazaa, na Adamu alipewa production role kwamba ardhi imelaaniwa juu yake na atakula kwa jasho. Sasa iweje watu humu jamvini hawaoni jinsi wanaume walivyowageuza wanawake 'mabuzi' wakati huo huo wanataka sisi tuendelee kushikilia zinazoitwa sheria za 'utii' kwa mwanaume, ikiwa wao mambo yamewashinda.

Wanaume siku hizi WANAKWEPA uzalishaji (to stand as a man provide for your family), kimsingi wanawake hata hawakutakiwa kufanya kazi, umsubiri mume umpokee atakacholeta kwa UTII. Now that we are both providing for the family TUTII-ANE/ TUHESHIMIANE ili tuendelee kusaidiana na kushirikishana. Nowadays ukimsaidia tu "kosa" mpaka ada za watoto anategea, yani akipata pa kuagamia anakuwa kama teja anajisahau haidi udenda!!! Na wanaume WENGI wanaolilia UTII, na kuhisi kudharauliwa mambo yameshawashinda! kwa kushindwa 'provide for the family' wanabaki kujifariji kwa kutafuta sifa nje kwa washkaji na vimada!! Mwanaume hata luku hununui, unataka utii 'GIZANI?'. Badilikeni jamani ukijua unasaidiwa appreciate mana wewe na uanaume wako na masifa yote Mungu aliyokupa umeshindwa.
 
Tulizo umeandika mengi sijui kama nitakujibu vizuri au...kuna w'ke strong hawapendi kutawaliwa ina maana wamechagua kutokutii -kama ndivyo basi wanahasara kubwa kana thread inavosema....hakuna nidhamu ya woga ktk kufuata maandiko(dini zisingekuwepo), Tulizo usipomtii mumeo unawezaje kujitoaa kwake? au ndo bora liende...m'me ajue mapungufu liko kwenye wajibu ambao mtu hufundishwa/kumbushwa so unaweza mkumbusha m'me mapungufu(atimize wajbu wake) yake still ukaendelea kutii..

Hapo ndipo kwenye utratra kwa baadhi ya wanaume, utajaribu kumkumbusha majukumu yake, tena mkiwa wawili chumbani, ataona kama unamsimanga, na chakula atasusa! Kuna mambo mtu hafundishwi ukubwani!!! Jamani, nadhani uvumilivu unahitajika zaidi ya utii. Kuna vimeo habari zao haziandikiki zikaisha full movie! Waulizeni/kumbukeni maisha ya mama/dada zenu (you know the samples, pick any).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom