Utii wa mwanamke ni dawa tosha ya nguvu za kiume

MORIA

JF-Expert Member
Jul 1, 2011
706
277
"Atamwacha baba na mamaye ataambatana na mumewe" ndani kabisa ya moyo wa mwnamke kuna ndoto ya kuchukuliwa na mwanaume mtanashati na mwenye kummiliki, vile vile maisha ya mwanamke mtawala mwanaume yamejaa huzuni,wasiwasi na mapungufu unless anatawaliwa somewhere..."Ukitii utakula mema ya nchi" .UTII wa mwanmke huifullfill nafsi ya mwanume na yeye kujisikia rijali na hivyo kitohitajika nguvu mbadala ktk mapenzi-sasa tunaona mke akipendwa sana, akienziwa na hata kubembelezwa..na ni wakati huu mme anapowajibika kwa familia yake. Mashindano,ubishi na hata kumlinganisha mwanaume ni sumu isiyo na simile ktk ndoa(impotance,ubaridi,kutojiamini na KUASI)..Nimefanya utafiti kidogo nimekutana na semi za wanaume ukioa mwmke mwenye elimu/fedha nyingi atakusumbua..Ewe msichana/mwnamke ni wakati wa kuikamata ndoa yako TII sasa kama agizo la BWANA
 
"Atamwacha baba na mamaye ataambatana na mumewe" ndani kabisa ya moyo wa mwnamke kuna ndoto ya kuchukuliwa na mwanaume mtanashati na mwenye kummiliki, vile vile maisha ya mwanamke mtawala mwanaume yamejaa huzuni,wasiwasi na mapungufu unless anatawaliwa somewhere..."Ukitii utakula mema ya nchi" .UTII wa mwanmke huifullfill nafsi ya mwanume na yeye kujisikia rijali na hivyo kitohitajika nguvu mbadala ktk mapenzi-sasa tunaona mke akipendwa sana, akienziwa na hata kubembelezwa..na ni wakati huu mme anapowajibika kwa familia yake. Mashindano,ubishi na hata kumlinganisha mwanaume ni sumu isiyo na simile ktk ndoa(impotance,ubaridi,kutojiamini na KUASI)..Nimefanya utafiti kidogo nimekutana na semi za wanaume ukioa mwmke mwenye elimu/fedha nyingi atakusumbua..Ewe msichana/mwnamke ni wakati wa kuikamata ndoa yako TII sasa kama agizo la BWANA
Hapa kuna ukweli 75%!!!!
 
Umejitahidi ila uliposema “maisha ya mwanamke yamejaa huzuni na mapungufu unless anatawaliwa somewhere“ umeangukia uso....yani naomba niseme umepotoka.Labda ungesema baadhi ungeleeweka zaidi na mimi ningekubaliana na wewe kwasababu najua wapo wanawake ndoa/mahusiano kwao ni zaidi ya HITAJI na SIO TAKWA‘!
 
"Atamwacha baba na mamaye ataambatana na mumewe" ndani kabisa ya moyo wa mwnamke kuna ndoto ya kuchukuliwa na mwanaume mtanashati na mwenye kummiliki, vile vile maisha ya mwanamke mtawala mwanaume yamejaa huzuni,wasiwasi na mapungufu unless anatawaliwa somewhere..."Ukitii utakula mema ya nchi" .UTII wa mwanmke huifullfill nafsi ya mwanume na yeye kujisikia rijali na hivyo kitohitajika nguvu mbadala ktk mapenzi-sasa tunaona mke akipendwa sana, akienziwa na hata kubembelezwa..na ni wakati huu mme anapowajibika kwa familia yake. Mashindano,ubishi na hata kumlinganisha mwanaume ni sumu isiyo na simile ktk ndoa(impotance,ubaridi,kutojiamini na KUASI)..Nimefanya utafiti kidogo nimekutana na semi za wanaume ukioa mwmke mwenye elimu/fedha nyingi atakusumbua..Ewe msichana/mwnamke ni wakati wa kuikamata ndoa yako TII sasa kama agizo la BWANA
Una akili sana wewe! Machangudoa hunyenyekea sana wanaume (hata kama ni kwa hila) ndio maana wanajinyakulia waume za watu kiulaini na hawachomoki hata kwa dawa!
 
Umejitahidi ila uliposema “maisha ya mwanamke yamejaa huzuni na mapungufu unless anatawaliwa somewhere“ umeangukia uso....yani naomba niseme umepotoka.Labda ungesema baadhi ungeleeweka zaidi na mimi ningekubaliana na wewe kwasababu najua wapo wanawake ndoa/mahusiano kwao ni zaidi ya HITAJI na SIO TAKWA‘!
"Hakika nitakuzidishia uchungu wa kuzaa na tamaa yako itakuwa kwa mwanaume naye atakutawala!" (Mwa. 3:16).
 
"Hakika nitakuzidishia uchungu wa kuzaa na tamaa yako itakuwa kwa mwanaume naye atakutawala!" (Mwa. 3:16).
Tukianza kuleteana mistari hapa hatutomaliza...tumeambiwa tupendane ila sio kila mtu ana uwezo wa kupenda...makosa kibao kwenye biblia tunambiwa tuadhibu kwa kuua ila hatufanyi hivyo...tunafundishwa kulipa visasi pia kutokufanya hivyo kwahiyo kila mtu anachagua kipi kinamfaa mle.As for me sina HITAJI la kutawaliwa though naweza nikawa NAPENDA ikitokea!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umejitahidi ila uliposema “maisha ya mwanamke yamejaa huzuni na mapungufu unless anatawaliwa somewhere“ umeangukia uso....yani naomba niseme umepotoka.Labda ungesema baadhi ungeleeweka zaidi na mimi ningekubaliana na wewe kwasababu najua wapo wanawake ndoa/mahusiano kwao ni zaidi ya HITAJI na SIO TAKWA‘!
Exactly Lizzy!
 
Tukianza kuleteana mistari hapa hatutomaliza...tumeambiwa tupendane ila sio kila mtu ana uwezo wa kupenda...makosa kibao kwenye biblia tunambiwa tuadhibu kwa kuua ila hatufanyi hivyo...tunafundishwa kulipa visasi pia kutokufanya hivyo kwahiyo kila mtu anachagua kipi kinamfaa mle.As for me sina HITAJI la kutawaliwa though naweza nikawa NAPENDA ikitokea!

Agggrrr,...
Lizzy bana,yaani wewe ukiletewa scripture tu unawakaaaaa,...
sasa base/msingi wa ubishi wako ni nini?

The word of God is the only truth to set us free from all
hardships we experience in our daily life,sasa unapo kataa scripture inayo
onesha kwamba unatakiwa kunyenyekea sikuelewi,unless ume tengeneza "manual" yako au huamini Biblia,...
for me my manual is the word of God,the Bible
 
mmmh! Wengine hata uwape nini hawaridhiki!

Hata hii umewapa?

avatar37304_2.gif



Toa avatar yako bana,haiendani na maadili ya JF
 
Tukianza kuleteana mistari hapa hatutomaliza...tumeambiwa tupendane ila sio kila mtu ana uwezo wa kupenda...makosa kibao kwenye biblia tunambiwa tuadhibu kwa kuua ila hatufanyi hivyo...tunafundishwa kulipa visasi pia kutokufanya hivyo kwahiyo kila mtu anachagua kipi kinamfaa mle.As for me sina HITAJI la kutawaliwa though naweza nikawa NAPENDA ikitokea!

Sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni Agizo kwa watu wote.Mengine ni maagizo specific kwa watu wa mahali fulani na kwa nyakati fulani and therefore usihitimishe kuwa biblia ina makosa kwa sababu tu ya test zako wewe au kwa kuchagua ni kipi kinakufurahisha na kipi kinakukera. Bible iko perfect ila udhaifu wako katika kuisoma kuielewa unaishia kuipotosha. Hakuna bibilia inayopfundishwa kulipa kisasi kwa kisasi...... Mmesikia imenenwa jicho kwa jicho,jino kwa jino lakini mimi nawaambia.... Akupigaye shavu la kuume........ Hayo ndio mafundisho ya biblia acha kupotoka na kupotosha wengine.
 
sawa kabisa eiyer! hiyo 25 % iliyobaki ni ile sehemu ya 'Mwanamke atamlinda mwanaume'. Kuna vitu ambavyo mwanaume akifanya huwezi kutii tu kwa sababu eti ni mume. Tupo kwa ajili ya kulindana,penye udhaifu unakuwa mkali kidogo la sivyo mwenzako atapoteza uhai, kazi na hata heshima yake kwenye jamii! tunaonyana na kukemeana kwa upendo

Hapa kuna ukweli 75%!!!!
 
Ukizingatia biblia iliandikwa na wanaume.

Sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni Agizo kwa watu wote.Mengine ni maagizo specific kwa watu wa mahali fulani na kwa nyakati fulani and therefore usihitimishe kuwa biblia ina makosa kwa sababu tu ya test zako wewe au kwa kuchagua ni kipi kinakufurahisha na kipi kinakukera. Bible iko perfect ila udhaifu wako katika kuisoma kuielewa unaishia kuipotosha. Hakuna bibilia inayopfundishwa kulipa kisasi kwa kisasi...... Mmesikia imenenwa jicho kwa jicho,jino kwa jino lakini mimi nawaambia.... Akupigaye shavu la kuume........ Hayo ndio mafundisho ya biblia acha kupotoka na kupotosha wengine.
 
Agggrrr,...Lizzy bana,yaani wewe ukiletewa scripture tu unawakaaaaa,...sasa base/msingi wa ubishi wako ni nini?The word of God is the only truth to set us free from allhardships we experience in our daily life,sasa unapo kataa scripture inayoonesha kwamba unatakiwa kunyenyekea sikuelewi,unless ume tengeneza "manual" yako au huamini Biblia,...for me my manual is the word of God,the Bible
Yaani hata mimi sijamwelewa Lizzy anapopingana na Maandiko Matakatifu ya Biblia!
 
Lizzy umenisoma vibaya ni wanawake watawala na siyo woote,kumbuka kutii ni dada yake kujitoa na usipojitoa kwa dhati huwezi fika kileleni, ndipo sasa ndoa huwa nchumali wa moto/maudhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom