Utii wa mwanamke ni dawa tosha ya nguvu za kiume

Lizzy kamwe usiikosoe Biblia Takatifu ........................yaani sanasana unatuonyesha ulivyo mbumbu katika Neno La Mungu...................Biblia Takatifu ni Mwenyezi mungu anaongea nas.....................Mungu hawezi kuwa na makosa kibao kama unavyodai...............

Labda nianze kwa kukusahihisha tafsiri zako juu ya neno la Mungu...........




mapungufu ya mwanadamu kamwe hayawezi kutumika kumkosoa mwenyezi Mungu kuwa Neno lake limejaa makosa kibao...............Mwenyezi mungu ametuagiza tuwe watakatifu kwa sababu yeye ni mtakatifu. sitanukuu mstari kwa sababu ukweli upo dhahiri........




adhabu za kifo bado zinatumika duniani ingawaje kutokana na udhaifu wa mwanadamu kuendekeza rushwa wengi wanaona wanaohukumiwa kufa yawezekana hawana hatia na ndiyo maana zimepigwa marufuku maeneo mengi.................................lakini hili huwezi kuliorodhesha kuwa ni kosa ndani ya neno la Mungu..................................



Hili ni lako mwenyezi Mungu ametuasa ya kuwa kisasi ni chake...........soma Kumbukumbu ya Torati 32:35.......



Hizi ndizo sifa za Anti-Christ.............................kufanya upendavyo as if there is no living God and p[erhaps entertaining the idea you are GOD......................maana kama husikilizi sauti ya mwenyezi mungu unasikiliza sauti ya nani? Kama ni yako basi wajiona ni Mungu........

Mtume Paulo amekuelekeza ifuatavyo:-

a) For a man indeed ought not to cover his head, since he is the image and glory of God; but woman is the glory of man. For man is not from a woman, but woman from man. Nor was man created for the woman, but woman for the man." 1 Corintihians 11:7-9.

b) "Wives submit to your own husbands, as to the Lord. For the husband is head of the wife, as also Christ is head of the church; and he is the saviour of the body. Therefore, just as the church is subject to Christ, so let the wives be to their own husbands in everything." Ephesians 5:22-24.

Lizzy; in thoughts and deeds, follow Christ and everything will be well with you..................kwa sababu imeandikwa ya kuwa.............Mathew 12:37 "For your words you will be justified, and by your words you will be condemned."

Sante Ruta kwa ufafanuzi pamoja na mistari...unajua hata hivi vilio vya kutendwa ukivichunguza sana unaweza kuta mmoja ktk wanandoa kuvaa uhusika/tabia bandia mke ni vizuri akawa mke...kadhalika mme awe mme......kama ilivyoutata kwa mke kumesh na dumejike vivyo na mume kumesh na jikedume..
 
Wanaume wengine wana hila tu hata uwaheshimu vipi bado wanakuwa wakatili tu

Shantel wewe mheshimu tu....................fidia na kisasi mwachie Muumba atajua la kumfanya..........................nimeona wanaume wengi wakatili kwa wake zao lakini Muumba amewashikisha adabu kwa matukio mengi ya kuwadhalilisha na sasa wanaheshimu sana wake zao..........

Soma 1 Timothy 5:22 "Do not lay hands on anyone hastily, nor share in other people's sins; keep yourself pure."
 
Sante Ruta kwa ufafanuzi pamoja na mistari...unajua hata hivi vilio vya kutendwa ukivichunguza sana unaweza kuta mmoja ktk wanandoa kuvaa uhusika/tabia bandia mke ni vizuri akawa mke...kadhalika mme awe mme......kama ilivyoutata kwa mke kumesh na dumejike vivyo na mume kumesh na jikedume..

nilitaka nikubonyezee likes lakini hazionekani........................Tubarikiwe sote.............
 
Kwa kweli tungefuata maamrisho ya mungu tungefanikiwa lakini ni kinyume wanaume mmekuwa wakatili ,hamna huruma wala upendo kiasi cha kutufanya ss tuanze kuamua kujitegemea hasa kujiendeleza kielimu na kiuchumi maana manyanyaso yamezidiiiiiiiiiiiiiiiii na hayavumiliki
JmNI HAMUWEZI AMINI NIMEMTII MUME MPAKA KIASI CHA KUHATARISHA UHAI WANGU NASHUKURU MUNGU AMENINUSURU MAANA HATA BAADA YA KUPATA HIV ANALAZIMISHA NIENDELEE KUSEX NAE UKIKATAA UGOMVI USIOISHA ,NILITII NA SIKUMMWAMBIA MTU MPAKA ALIPONILETEA MKE MWINGINE JUU YA VIRUSI ALIVYONAVYO HAPO ILIBIDI NDOA IVUNYIKE HAMUEZI AMINI LAKINI HUO NDIO UKWELI UTII SISI TUNAOMWOGOPA MUNGU UNATUUWA
TUSITII KIASI HIKI JAMANI ,Siku hizi siwezi kutii kwa kupitiliza maana waume hamna mapenzi wala huruma .
Evergreen Umenena,

Hapa ndipo penye shida utii, alipewa mwanamke iweje mume amtii mke hali yeye alipewa kupenda, na kuishi kwa akili na mwanamke na kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu hivyo kuweni na akili kuishi nacho. Kuna wajibu watu walipewa hapa, na Mungu aliona kabisa shida iko wapi tena tangu pale bustani ya eden, ni kweli maneno yaliyomengi yaliandikwa na watu kulingana na mahali hapo, lakini ni sawa hata sasa, na biblia ya Yesu ilikuja kukamilisha tu ile ya mwanzo.

Wanaume kutokuwa na mapenzi na wake zao ni kwa sababu wanawake wanataka kushindana na wanaume (authority) (kichwa cha nyumba))wakati wao wamepewa kitu chao kuwa na mikono isiyobomoa nyumba zao (hekima/busara/maarifa).

Ukichinguza ndoa/wapenzi wenye furaha ni wale wanaotii agizo hilo, ambalo lina matunda ya upendo, furaha, upole, unyeyekevu, kiasi, heshima, mapenzi yatakuwepo, faraja itakuwepo, na Nguvu za kiume kama mmoja alivyosema itakuwepo, japo vyakula navyo vinachangia lakini kukiwa utii, hayo mtajadiri hata aina ya vyakula kwa ajili ya nguvu za kiume yatakuwepo, lakini wakati mwingine nguvu zakiume hazipo kwa sababu baba haheshimiwi nyumbani inambidi ahamie kule wanako mtii na ndiko anakomaliza hizo nguvu, kwa hakika nguvu hakuna nguvu inayotumika ikakaa kama ilivyo, hakuna nguvu itakayo kaa bure, lazima itumike, sasa mume wako mnalala mzungu wa pili/nne hiyo nguvu itapoteaje? sasa mama unataka nguvu kwa mtu usiyemtii itatokaje, usiyemjali, usiye mheshimu, usiye mpenda, na yeye anjua humpendi na unamtamkia kabisa...
Mwanake kauri mbaya, sauti ya juu kila siku, halafu unataka mashamsham na nguvu vitatoka wapi?

Pili, wanawake wakiwapata waume huwa wanadhani safari ndo imeisha, kujipenda kule kwa mwanzo kunaisha, kuvaa vizuri kunaisha, kukiss, kuhug, kutoa pole kwa wanaume zao hata kama wakati huo wao wote wanafanya kazi just do it for the sake of your marriage coz it is so, kama mwanaume wako anataka kuoga kabla ya kula fanya hivyo mpe maji kama hayako yale ya kisasa, kama taulo halipo bafuni fanay hivyo, kwa zile bafu zetu, kama chakula kipo mezani na pengine wewe hupendi kula jaribu kuwa naye mezani hata kama unajisikia taabu kufanya hivyo halafu ona kama huyu kiumbe dhaifu atabanduka hapo.

Mwanume anaweza akawa amekununulia hata gari, nyumba nzuri, kila kitu kizuri yet akakuacha unakula, unalala, unaendesha gari unafanya shopping, akaenda kula kwa mamashikaji nje tu kwasabau hakuna hizi herufi nne na kaneno ka UTII tu.

Na kama mwanamke anapaswa kutii, basi mwanamume amjali huyo anayemtii which is obviously kwa ka-research kangu nilikokafanya and the opposite is true.

Blessing Be Unto You !
 
Tukianza kuleteana mistari hapa hatutomaliza...tumeambiwa tupendane ila sio kila mtu ana uwezo wa kupenda...makosa kibao kwenye biblia tunambiwa tuadhibu kwa kuua ila hatufanyi hivyo...tunafundishwa kulipa visasi pia kutokufanya hivyo kwahiyo kila mtu anachagua kipi kinamfaa mle.As for me sina HITAJI la kutawaliwa though naweza nikawa NAPENDA ikitokea!
Easy...easy my dear..hatusemi makosa kila kitu kina muda na wakati wake si vizuri kumkosoa muumba wako....kwa kifupi agano la kale Mungu hakutaka mzaha wa mchezo alikuwa na hasira na ndio maana alipochoshwa na uovu hata km ni mtu mmoja aliamua kuteketeza wote,ila baada ya KRISTO YESU KUJA NA AGANO JIPYA MUNGU WETU NI HURUMA....ANASAMEHE NA ANAOKOA..LEO HII WAPO WANAOZAA BILA UCHUNGU UKIOMBA AUONDOE ANAFANYA NA SASA YESU ANASEMA AKIKUPIGA SHAVU LA KUSHOTO MGEUZIE LA KULIA ...SO BIBLE IS GOOD SO AS GOD IS GOOD!
 
Ukizingatia biblia iliandikwa na wanaume.
Naomba kama siyo wa imani ya Biblia usichangie mada za Biblia kwa dhihaka na kufurahisha umati wa jf. Laana itakayokupata hakuna wa kukusaidia humu jf. Jifunze kufikiri kabla ya kudakia mada ili uonekane nawe umeongea.
 
Agggrrr,...
Lizzy bana,yaani wewe ukiletewa scripture tu unawakaaaaa,...
sasa base/msingi wa ubishi wako ni nini?

The word of God is the only truth to set us free from all
hardships we experience in our daily life,sasa unapo kataa scripture inayo
onesha
kwamba unatakiwa kunyenyekea sikuelewi,unless ume tengeneza "manual" yako au huamini Biblia,...
for me my manual is the word of God,the Bible

Are you for real??
Usiwe mtu wa kuendeshwa na vitu bila kufikiri..kuchambua na kutafakari.
Biblia ni muongozo ndio maana watu wanasoma ..wanajifunza na kuitafsiri kwa namna tofauti.Kama tungekua tunasoma
tu na kuchukua yote yaliyoandikwa kama yalivyoandikwa tungeshakatana mikono, ng'oana macho na mengine mengi tu
ambayo biblia inaongelea na kusupport japo sio sahihi na mtu akikufanyia sasa hivi utabaki kulaani badala ya kukubali kwamba
''biblia ndivyo inavyofundisha.''

As for me...siamini biblia (ambayo imeandikwa na watu/imetafsiriwa number of times na hata kubadilishwa ) japo nasoma ili kujifunza, bali namwamini Mungu and I..... think for my self.
 
Easy...easy my dear..hatusemi makosa kila kitu kina muda na wakati wake si vizuri kumkosoa muumba wako....kwa kifupi agano la kale Mungu hakutaka mzaha wa mchezo alikuwa na hasira na ndio maana alipochoshwa na uovu hata km ni mtu mmoja aliamua kuteketeza wote,ila baada ya KRISTO YESU KUJA NA AGANO JIPYA MUNGU WETU NI HURUMA....ANASAMEHE NA ANAOKOA..LEO HII WAPO WANAOZAA BILA UCHUNGU UKIOMBA AUONDOE ANAFANYA NA SASA YESU ANASEMA AKIKUPIGA SHAVU LA KUSHOTO MGEUZIE LA KULIA ...SO BIBLE IS GOOD SO AS GOD IS GOOD!

I agree with you...GOD IS GOOD but the bible can be misleading!!!
 
Tatizo la kusomewa maandiko matakatifu. Mungu akuhurumie

Usiwe mtumwa kiasi hicho wewe.....
Babu na babu wa babu yako waliijua biblia??
Kama mzungu asingekuja Afrika akatuletea dini wote tungeenda jehanam??Wote tungekua malimbukeni??
Wewe kwa kuijua biblia na dini ni bora kuliko ambao walikufa kabla hawajaijua kunakufanya wewe bora kuliko wao???

Usiwe limbukeni kiasi cha kuwa na dharau kwa wale ambao hawako kama wewe. Biblia inaweza kuwa manual ya maisha yako kwa sababu uzijuazo wewe na mimi naitumia nipendavyo kwasababu nizijuazo mimi. Usitumie imani yako kuhukumu....na ungekua kweli waisoma/wailewa na kuiishi biblia usingejifanya wewe ndie mwenye haki na wanaomini tofauti na wewe sio!!!
 
Umeongea vyema, mwanamke inabidi uwe mtiifu ila usiwe mtiifu kupitiliza hadi ukaonekana zoba.

Utiifu wa hiari hauwezi kupitiliza bali unatolewa kwa kiasi kile mtu anachostahili.....
Ukiona mtu anakua mtiifu mpaka unashangaa jua analazimika iwe kwa woga, kushinikizwa n.k
 
Mimi ni mkristu na nina haki kusema ninacho amini; am critical so I don't take things on their face value no matter what.

Naomba kama siyo wa imani ya Biblia usichangie mada za Biblia kwa dhihaka na kufurahisha umati wa jf. Laana itakayokupata hakuna wa kukusaidia humu jf. Jifunze kufikiri kabla ya kudakia mada ili uonekane nawe umeongea.
 
Lizzy kamwe usiikosoe Biblia Takatifu ........................yaani sanasana unatuonyesha ulivyo mbumbu katika Neno La Mungu...................Biblia Takatifu ni Mwenyezi mungu anaongea nas.....................Mungu hawezi kuwa na makosa kibao kama unavyodai...............

Labda nianze kwa kukusahihisha tafsiri zako juu ya neno la Mungu...........




mapungufu ya mwanadamu kamwe hayawezi kutumika kumkosoa mwenyezi Mungu kuwa Neno lake limejaa makosa kibao...............Mwenyezi mungu ametuagiza tuwe watakatifu kwa sababu yeye ni mtakatifu. sitanukuu mstari kwa sababu ukweli upo dhahiri........




adhabu za kifo bado zinatumika duniani ingawaje kutokana na udhaifu wa mwanadamu kuendekeza rushwa wengi wanaona wanaohukumiwa kufa yawezekana hawana hatia na ndiyo maana zimepigwa marufuku maeneo mengi.................................lakini hili huwezi kuliorodhesha kuwa ni kosa ndani ya neno la Mungu..................................



Hili ni lako mwenyezi Mungu ametuasa ya kuwa kisasi ni chake...........soma Kumbukumbu ya Torati 32:35.......



Hizi ndizo sifa za Anti-Christ.............................kufanya upendavyo as if there is no living God and p[erhaps entertaining the idea you are GOD......................maana kama husikilizi sauti ya mwenyezi mungu unasikiliza sauti ya nani? Kama ni yako basi wajiona ni Mungu........

Mtume Paulo amekuelekeza ifuatavyo:-

a) For a man indeed ought not to cover his head, since he is the image and glory of God; but woman is the glory of man. For man is not from a woman, but woman from man. Nor was man created for the woman, but woman for the man." 1 Corintihians 11:7-9.

b) "Wives submit to your own husbands, as to the Lord. For the husband is head of the wife, as also Christ is head of the church; and he is the saviour of the body. Therefore, just as the church is subject to Christ, so let the wives be to their own husbands in everything." Ephesians 5:22-24.

Lizzy; in thoughts and deeds, follow Christ and everything will be well with you..................kwa sababu imeandikwa ya kuwa.............Mathew 12:37 "For your words you will be justified, and by your words you will be condemned."


Hapo kwenye nyekundu pamefanya mengine yote uliyoandika yaPOTEZE maana!!
Thanks anyway!!!
 
Mimi ni mkristu na nina haki kusema ninacho amini; am critical so I don't take things on their face value no matter what.

Tatizo kuna watu wanadhani kusema 'mimi nasoma biblia na kuichukulia kama ilivyo ' kunawafanya wakristo kuliko wale wanaoaminia na bado wakaona mapungufu yake.
 
Dah! kwa greti thinka Lizzy alivokuwa na hasira kwenye hii sredi! kuna kila dalili jamaa atalazwa mzungu wa nne usiku wa leo na kesho.
Heri mie sijasema
 
Kloro acha hizo bana....hamna cha hasira wala nini tunaelimishana tu!!
Nilielewa bana! I just wanted u to quote me to make my dark night bright. At least now I can log out happily with heartbeats full of Lizzy.
Good night honey.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom