Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

Status
Not open for further replies.
Naona watu mnatokwa mapovu bure, narudia tena WEWE KAMA HAUTACHAGULIWA KWENDA UDSM au MZUMBE basi ujue umeingia chaka kwa kulamba garasa tena huenda kuna kalaana kanakufatilia its better ukaenda kwa Tb Joshua akufanyie maombi kabisa, sababu huwezi kujiita msomi kama hujapita UD au MZUMBE.

Byee
 
Jamani wana jamii forum niondoeni waswas nasikia wengine tayari washapata selection za vyuo kutoka TCU ila kwangu bado. Kwenye first round niliambiwa PROCESSED SUCCESSFULLY. YOU HAVE BEEN SELECTED lakini nashangaa wengine washajua vyuo walivyochaguliwa lakini mimi bado.

Shida nini jamani
 
Naona watu mnatokwa mapovu bure, narudia tena
WEWE KAMA HAUTACHAGULIWA KWENDA UDSM au MZUMBE basi ujue umeingia chaka kwa kulamba garasa tena huenda kuna kalaana kanakufatilia its better ukaenda kwa Tb Joshua akufanyie maombi kabisa, sababu huwezi kujiita msomi kama hujapita UD au MZUMBE. Byee

kapime akili brother
 
jamani wana jamii forum niondoen waswas nasikia wengine tayari washapata selection za vyuo kutoka tcu ila kwangu bado. kwenye first round niliambiwa PROCESSED SUCCESSFULLY. YOU HAVE BEEN SELECTED lakn nashangaa wengine washajua vyuo walivyochaguliwa lakini mimi bado. shida nini jamani

kaka waliojua selection zao ni wale waliobahatika kuziona pale zilipo leak wiki iliopita.dah m mwenyewe bado in progres lakn naskia watu wanasema et katika zile coz tana kama ukikuta rangi nyeusi basi hujakizi vigezo lakn kama rangi ni ya blue basi umekizi mi hata sielewi labda na wewe umesikia hili.
 
Naona watu mnatokwa mapovu bure, narudia tena
WEWE KAMA HAUTACHAGULIWA KWENDA UDSM au MZUMBE basi ujue umeingia chaka kwa kulamba garasa tena huenda kuna kalaana kanakufatilia its better ukaenda kwa Tb Joshua akufanyie maombi kabisa, sababu huwezi kujiita msomi kama hujapita UD au MZUMBE. Byee

UD ? MZUMBE ? labda hizo nyengne sekondar
 
Ni kwel walishajua kutokana na result ku leak so ww subir j3 usiwe na munkar tulizana j3 kila kitu kitakaa sawa
 
Jamani wana jamii forum niondoeni waswas nasikia wengine tayari washapata selection za vyuo kutoka TCU ila kwangu bado. Kwenye first round niliambiwa PROCESSED SUCCESSFULLY. YOU HAVE BEEN SELECTED lakini nashangaa wengine washajua vyuo walivyochaguliwa lakini mimi bado.

Shida nini jamani

tuliza hilo pele wewe
 
kaka waliojua selection zao ni wale waliobahatika kuziona pale zilipo leak wiki iliopita.dah m mwenyewe bado in progres lakn naskia watu wanasema et katika zile coz tana kama ukikuta rangi nyeusi basi hujakizi vigezo lakn kama rangi ni ya blue basi umekizi mi hata sielewi labda na wewe umesikia hili

kama hivi mkuu?

MU012​
Bachelor of Health Systems Management (BHSM)​
Mzumbe University​
1​
IN PROGRESS​
PROCESSED
 
Wadogo zangu ivi mmeshasikia eti kwenye ajila wanaweka sifa ya chuo cha ud au mzumbe?

Kozi unayosoma tu ndio itakayokuwa mkombozi after 3-4yrs. Kuna watu mtamaliza ud after 3-4yrs mtajutia izo kozi zenu.

Omba uchaguliwe kozi nzuri na sio chuo fulani.
 
Wadogo zangu ivi mmeshasikia eti kwenye ajila wanaweka sifa ya chuo cha ud au mzumbe?
Kozi unayosoma tu ndio itakayokuwa mkombozi after 3-4yrs. Kuna watu mtamaliza ud after 3-4yrs mtajutia izo kozi zenu.
Omba uchaguliwe kozi nzuri na sio chuo fulani.
Kama kozi gan ndo ututajie hapa!
 
Wadogo zangu ivi mmeshasikia eti kwenye ajila wanaweka sifa ya chuo cha ud au mzumbe?
Kozi unayosoma tu ndio itakayokuwa mkombozi after 3-4yrs. Kuna watu mtamaliza ud after 3-4yrs mtajutia izo kozi zenu.
Omba uchaguliwe kozi nzuri na sio chuo fulani.

mtu aliyesoma chuo cha hovyo utamjua tu
 
Kwa wale ambao hamkubahatika kuona, reliable sources zimenifahamisha kwamba kesho tcu wanatoa university admissions list for undergraduates 2014/2015.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom