Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,268
- 4,583
.......kaimu????Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Mama Mwantumu Bakari Mahiza,ameteuliwa kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Shule ya Msingi Julius Kambarage Nyerere,uteuzi huu umeanza ramsi July 01,2018.
Mahiza anachukua nafasi ya aliyekuwa mwalimu mkuu wa shule hiyo Grace Lyimo ambaye ameondoka shuleni hapo.View attachment 817069