Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,169
Heshima sana,
Tangu Kingai ateuliwe kuwa DCI nimejikuta nikikosa imani na jeshi la police 👮‍♀️.
Matendo ya Kingai akiwa RCO na baadae kesi ya Mbowe yanatosha kabisa tena bila shaka yoyote kuonyesha muelekeo ya Jeshi la police.
Naomba kusema inatosha sasa Katiba mpya ni muhimu kuliko jambo lolote.
Tangu Kingai ateuliwe kuwa DCI nimejikuta nikikosa imani na jeshi la police 👮‍♀️.
Matendo ya Kingai akiwa RCO na baadae kesi ya Mbowe yanatosha kabisa tena bila shaka yoyote kuonyesha muelekeo ya Jeshi la police.
Naomba kusema inatosha sasa Katiba mpya ni muhimu kuliko jambo lolote.