Uteuzi wa Dkt. Bashiru Ally, Pasco Mayalla kawa kimya

Uteuzi wa Dkt. Bashiru Ally, Pasco Mayalla kawa kimya

Mayalla kaamua kususa kujikomba maana ni takribani miaka 5 anajikomba tu wakati wateuzi wakiendelea kuwapa ulaji MATAGA wengine yeye wana mfanyia mchezo wa wahaya yaani wa MUPE MURUKE.
Pascal Mayalla commited a cardinal sin.
Kumuuliza kaswali mheshimiwa JPM chenye kiashiria cha kumweka mtegoni.
JPM huwa hasahau watu waliomuweka matatizoni au kumpinga.
 
Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi (CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandoko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.

Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?
Ndo Nini umeandika
 
Lakini Jerry Muro from nowhere na cha kushtusha zaidi katokea jamii inayoogopwa na kutengwa lakini kahula.

There must be something.
Mkuu, naona upo vizuri kwenye KIMOMBO kuliko Kiswahili! Sijaelewa hapo "KAHULA" una maanisha nini!?
 
Nyie hamjui jinsi inavyoumiza. Babu Tale anakuwa Mbunge halafu pascal anakosa Ubunge? Inauma sana. Kila nikifikiria huwaga nina lia. Inaniuma sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]atakuwa kama mrema miaka ile ilibaki kidogo aingie ikulu muda mwingine akifikiria huwa analia sana [emoji23][emoji23]
 
Nilimuona twitter anaranda randa na akasifia uteuzi kupitia twitt ya Fatma karume...raia walimpiga sana spana.
 
Mayala hajipendekezi kwa mtu yeyote. Mawazo na hoja zake zinawakera kwa sababu zina nguvu na mnashindwa kuzipangua. Nafikiri na ninyi mnajipendekeza upinzani kuonyesha nyie ndiyo watetezi mahiri wa upinzani. Mimi nilikuwa naamini kuwa hayo ni mawazo yenu, lakini mnapoanza kuwa personal, naona Mayala kawashinda kwa hoja, sasa mnakimbilia matusi. Na hapo pia mtashindwa kwa sababu he is not going to stoop that low as you have done.
Huna jipya zaidi ya kujipendekeza kwenye mifumo ya kishetani
 
Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi (CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandiko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.

Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?
We wee ngoja kibuyu kimwagiwe mafuta ya upako kama hajamwona kijiweni,kibuyu cha kijani noumaa
 
Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi (CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandiko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.

Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?
Alijua yajayo
 
Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi (CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandiko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.

Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?
Mayalla kwa kisukuma ni njaa, so anatafuta mkate akate njaa
 
Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi (CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandiko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.

Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?
Mkuu MKEHA , ni kweli wakati wa uteuzi nilikuwa likizo, ila wakati wa utumbuzi nilitoa uchambuzi, BBC, DW na VOA Ubunge wa Bashiru Ali, wachambuzi wanasemaje? | DW | 01.04.2021
Na kwa vile mimi ni muumini wa freedom of expression, kweli hili la sasa la Dr. Bashiru, nimempa ushauri ufuatao Dr. Bashiru, If you are a man of Principles, Hata Wakushukie vipi Stand Firm!, Don't Apologize!, Utaheshimika Zaidi na Zaidi!
P.
 
Back
Top Bottom