Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,404
- 5,576
Nyie hamjui jinsi inavyoumiza. Babu Tale anakuwa Mbunge halafu pascal anakosa Ubunge? Inauma sana. Kila nikifikiria huwaga nina lia. Inaniuma sana.
Hivi Pascal yupo duniani? simsikii kabisa ingawa hapa kwangu nilim-block. Bado mateuzi ni mengi atapata, msukuma mwenzangu. Lakini Magu kwa visasi lile swali la mamlaka unayapata wapi, linam-cost!
Hivi Pascal yupo duniani? simsikii kabisa ingawa hapa kwangu nilim-block. Bado mateuzi ni mengi atapata, msukuma mwenzangu. Lakini Magu kwa visasi lile swali la mamlaka unayapata wapi, linam-cost!
Laana inamtafunaPascal Mayalla kichwa maji huyo ateuliwe na nani....kujikomba kulizidi Kama mwanamke
Muunganisheni bando.Sasa mtu ana njaa unataka andike nini.
Mpeni chakuka kwanza
Afadhali na aishie huko kabisa. Siku hizi P. is a nuisance. It's much better without him. Sijajua ni frustrations za wale wajumbe au balaa gani jingine. Au Gwajima kampeleka Monaco kula kuku kwa mrija?Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi(CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandoko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.
Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?
Mpuuzi Kama wapuuzi wengineKweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi (CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandoko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.
Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?
Ungeweka namba hapa tayari kwa TeuziNatamani ningekuwa kanda hiyo
Pole Pascal Mayalla imekuuma sanaNyie hamjui jinsi inavyoumiza. Babu Tale anakuwa Mbunge halafu pascal anakosa Ubunge? Inauma sana. Kila nikifikiria huwaga nina lia. Inaniuma sana.
Hawawezi kunipa uteuzi maana mimi ni mpinzani wa kweli na sipo tayari kuramba matapishi kisa ajira.Ungeweka namba hapa tayari kwa Teuzi
Unataka kusema kuwa Mayalla kaingia kuvingine na I'D mpya?Pole Pascal Mayalla imekuuma sana
Ameona akaze koyo kumeza jiwe.....asiwe nyumaPaso anaunga mkono uteuzi, sasa hivi kahamishia makazi twita🤣
View attachment 1714499
View attachment 1714500