Uteuzi wa Dkt. Bashiru Ally, Pasco Mayalla kawa kimya

Uteuzi wa Dkt. Bashiru Ally, Pasco Mayalla kawa kimya

We unafikiri kujipendekeza mwaka wa 6 sasa mchezo?? Tena hadharani ..angalia akina Bashiru na polepole wanaula kabaki peke yake
 
Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi(CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandoko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.

Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?
Nasikia yuko Mwanza anaendesha Cafe za kupiga nyungu.
 
Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi(CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandoko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.

Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?

Kasusa na hata ingekuwa wewe lazima ungesusa ... huwezi imbisha pisi miaka 6 huku wenzio wakila bila jasho
 
Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi(CS) Cha kushangaza Pasco Mayalla sijaona comment wala bandoko lake kutuletea uchambuzi na matarajio yake kama tulivyozoea.

Au Pasco kuna sehemu yupo anafanya kazi zinazomweka bize mpaka anashindwa kuandika?
Wewe inakuhusu nini. You making this thing personal. Mayala ana uhuru wa kuandika jinsi anavyotaka na kwa wakati anaotaka. Kama hana cha kuandika unataka aandike nini.
 
Kasusa na hata ingekuwa wewe lazima ungesusa ... huwezi imbisha pisi miaka 6 huku wenzio wakila bila jasho
Unajuaje kama halipwi. Kama unataka na wewe ulipwe si uulize namna ya kupata kazi za ku"influence thinking and thinkers". Wewe wakati zilitangazwa ulikuwa wapi? Lbada ungoje waliyoteuliwa wastaafu ili na wewe upate kanafasi ama sivyo aangalia usawa wa ungo mtupie mmoja au wawili jini au corona. Wakiondoka wahi kuomba.
 
Unafiki wa kujipendekeza kwakwe kwa chama cha zamani ni laani kwake
Mayala hajipendekezi kwa mtu yeyote. Mawazo na hoja zake zinawakera kwa sababu zina nguvu na mnashindwa kuzipangua. Nafikiri na ninyi mnajipendekeza upinzani kuonyesha nyie ndiyo watetezi mahiri wa upinzani. Mimi nilikuwa naamini kuwa hayo ni mawazo yenu, lakini mnapoanza kuwa personal, naona Mayala kawashinda kwa hoja, sasa mnakimbilia matusi. Na hapo pia mtashindwa kwa sababu he is not going to stoop that low as you have done.
 
Ngosha ana visasi sana wajameni. Kama kuna vijana wangemsaidia Magu kazi katika nchi hii ni Pascal Mayala na Bollen Ngetti. Ila Ngetti naambiwa ni kachero wa Membe ila ni kijana very smart upstairs. Magu awafikirie vijana hawa hasa kwenye chama. Uwezo wao wa kuiangamiza Upinzani ni mkubwa sana.
 
Hivi Pascal yupo duniani? simsikii kabisa ingawa hapa kwangu nilim-block. Bado mateuzi ni mengi atapata, msukuma mwenzangu. Lakini Magu kwa visasi lile swali la mamlaka unayapata wapi, linam-cost!
Hii ndo sababu tosha.... Lile swali lilikuwa gumu.... Na ndo maana magu alizuga
 
Back
Top Bottom