OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,244
- 103,937
awamu hii waimba mapambio wameula sana
Ahahahaaaa . Nawe vipi mheshimiwa kama hakuoni vile ?! Siyo vizuri hivyo onghwise . Kazana labda baada ya uchunguziKazi maalumu kazi gani? Si mwanachama Jf kama wanachama wengine?
ameula na mshahara na marupurupu yanaongezeka...wewe ambaye sio zoba na ambaye hulambi miguu una nini au umepata nini, au ndio kufuatwa na ndege kila mahaliamelamba sana miguu ya kipara mpaka ameonwa
afu akitumbuliwa anarejea kula koni tena studio!Hatimae Hassani Ngoma Wa Clouds Tv ateuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya Siglngida
Eteuzi huo umefanywa na Waziri Mkuchika kwa Mamlaka aliyopewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.
View attachment 1499325
Ahaaa Jaduong tatizo lenu ndio hilo. Mtu akisema ukweli mnafikiria masuala madogo kama teuzi.Ahahahaaaa . Nawe vipi mheshimiwa kama hakuoni vile ?! Siyo vizuri hivyo onghwise . Kazana labda baada ya uchunguzi
wana uwezo sio kuwa waimba pambio kama ni kuimba pambio wewe ungekuwa mwenyekiti chadema taifaawamu hii waimba mapambio wameula sana
Sasa naweza anza tena kufuatilia vipindi vya clouds TV maana uwepo wa huyu bwana nilikuwa naona clouds kama chooHatimae Hassani Ngoma Wa Clouds Tv ateuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya Siglngida
Eteuzi huo umefanywa na Waziri Mkuchika kwa Mamlaka aliyopewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.
View attachment 1499325
mfano nani anauwezo? si nyie ndo mlowapa vyeo kwa mbwembwe kina Gambo mwisho wakaishia kutukanana hadharani. kina Mwampana mwisho wakaishia kutia wake za watu. Utumishi ni vetting bro. sio kuokota watu mitaaniwana uwezo sio kuwa waimba pambio kama ni kuimba pambio wewe ungekuwa mwenyekiti chadema taifa
yule angekuwa raia angeshapewa toka 2017Baby kabae nadhani atapata ukuu wa wilaya kusini mwa tanzania soon
Ungependa akagombee wapi ?! Kwani kugombea ni haki yake , kumbuka hata 2015 Mzee mfupi alishiriki kumpora ushindi wake . Kumbuka mwz iliwekwa ndani ya curfew siku 4 mpaka ushindi wa hovyo wa mabula ulipotangazwa japo hakushinda.Ahaaa Jaduong tatizo lenu ndio hilo. Mtu akisema ukweli mnafikiria masuala madogo kama teuzi.
Mfano Jamaa zako wanashupaza shingo Wenje akagombee Rorya wakati hawezi kushinda. Jambo ambalo hamtaki kusikia.