TrueSiku hizi watangazaji ni kushindana kusifu tu, inalipa!
Pasco Ana project yakuiua chadema huku Jf, anaelekea kushindwa ameshindwa kupata wafuasiNa Pascal bado hajakumbukwa ?!. Au ana kazi maalumu huku social networks ?!
TrueUsishangae mmoja wapo hapo ndio ngoma mwenyewe...😂😂😂😂
Nani binadamu akae anamsikiliza uyo Mayala?Pasco Ana project yakuiua chadema huku Jf, anaelekea kushindwa ameshindwa kupata wafuasi
Hawezi kuwa mwewe.Huyu jamaa ni mwewe...
Pasco alikuwa analilia tenda zake za sabasaba alizonyang'anywa, amerudishiwa juzi kajigamba Hadi kwenye Star tv kuwa mambo Safi.Na Pascal bado hajakumbukwa ?!. Au ana kazi maalumu huku social networks ?!
Waimba mapambio hao !!! Bado mwingine msoma magazeti
Subra yavuta heri.Bonge anafaa kuwa mkurugenz kabisa
Kazi maalumu kazi gani? Si mwanachama Jf kama wanachama wengine?Na Pascal bado hajakumbukwa ?!. Au ana kazi maalumu huku social networks ?!
Mbona wanaendelea kumsahau Pasco Mayalla?Hawa malofa Kawe Alumni na Bia yetu watateuliwa lini? Hawa malofa hawalali usingizi kuitetea kijani
Hivi babe kabae ni mtanzana au mkenya?Babe kabae nae lazima atateuliwa kuwa mkuu wa wilaya this time
Hongera zake. Mwenye CV yake atuletee
duh wabongo ni shida, mmeanza kumpangia jinsi ya kufanya kazihogera nyingi sana kwake kwa kuonekana, Rais kamuona sasa kachape kazi upande zaidi, usilewe misifa nenda kafanye kazi
Kwani hakukimbia mahojianoSalaam.
Habari zilizonifikia hivi punde zinasema Hassan Ngoma mtangazaji wa Clouds kipindi cha 360 ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Singida.
Hawa jamaa ndio waliokuwa wanalazimisha kuuaminisha umma kwamba Mh. Mbowe mwenyekiti wa Chadema amewakimbia kwa ajili ya mahojiano nae, kumbe walikuwa wanakitafuta kitu waonekane na watawala, sasa ameshakipata alichokuwa anakitafuta.