Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,570
Yeye anawaogopa na wao hawamuamini!!!kwamba Paskali amedandia gari kwa mbele hajui hata linaenda wapi?
Yeye anawaogopa na wao hawamuamini!!!kwamba Paskali amedandia gari kwa mbele hajui hata linaenda wapi?
Ma Katibu Tawala Wengi Wao Hua Ni MweweHuyu jamaa ni mwewe...
Mkenya yuleBabe kabae nae lazima atateuliwa kuwa mkuu wa wilaya this time
Hatimae Hassani Ngoma Wa Clouds Tv ateuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya Singida.
Uteuzi huo umefanywa na Waziri Mkuchika kwa Mamlaka aliyopewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania.
View attachment 1499364
Kumbe ndiye alitumiwa na nyamitako kutekeleza udhalimu !!!Malipo ya kumpoison mtu.
Kuna pande nono amelilengaMtu wetu wa humu Pascal Mayalla uteuzi wake bado?
Kwa sasa vinaonekana ni maalum kwa makada wa CCM kugawana keki, na hapa tulipofika hata Bunge nalo sioni faida yake ingependeza zaidi likafutwa tu lisiwepo kabisa tungeokoa mabilioni mengi tu.Ninauliza tu. Mtangazaji kuwa Katibu Tawala ni sawa?. Hakuna haja ya kuwa na experience kwenye mambo ya administration kweli. Ninafikiri hivi vyeo tunapeana kwa ajili ya kulipa fadhila tu. Angekuwa mkuu wa wilaya ningeweza kuelewa. Lakini hata hivyo sijajua hivyo vyeo vya mkuu wa wilaya, mkurugenzi, katibu tawala. Wote hao kazi zao ni zipi.
Mshahara wa das mbona wa kawaida
Jiwe ana mahawara wengi sanaYeah hata mimi nakumbuka wakati fulani tulikutana nae kwenye masuala ya kikazi, alikua n confidenc san akwamba kama hiyo project ikifanyika basi atakwenda personally kuitambulisha kwa chemist, nikasema huyu tayari chemist ameshafunua titi
Jiwe ana mahawara wengi sana