Father of All
JF-Expert Member
- May 30, 2026
- 251
- 433
Usingle nauona kama ifuatavyo;
Kwanza, ni uhalisia wa kisasa.
Pili, ni majaliwa. Ni mtu gani mwenye akili timamu aweza kuchagua hasara na kuchukia faida?
Tatu, tusiwahukumu. Asiye na dhambi, awe wa kwanza kurusha jiwe.
Tuwaonee huruma. Je, tungekuwa kama wao tungetaka tutendewe na kutenzwa vipi? Jiulize kabla ya kuhukumu wakati mwingine unaweza ukawa unajihukumu mwenyewe kwenye mapungufu yako.
Tushukukru sisi tusio kama wao si kwa ujanja wala uzuri wetu bali majaliwa.
Hakuna jipya chini ya jua.
Kwanza, ni uhalisia wa kisasa.
Pili, ni majaliwa. Ni mtu gani mwenye akili timamu aweza kuchagua hasara na kuchukia faida?
Tatu, tusiwahukumu. Asiye na dhambi, awe wa kwanza kurusha jiwe.
Tuwaonee huruma. Je, tungekuwa kama wao tungetaka tutendewe na kutenzwa vipi? Jiulize kabla ya kuhukumu wakati mwingine unaweza ukawa unajihukumu mwenyewe kwenye mapungufu yako.
Tushukukru sisi tusio kama wao si kwa ujanja wala uzuri wetu bali majaliwa.
Hakuna jipya chini ya jua.