TCU elimu ya juu kuanzia 1st degree up to PHD.
NACTE, basic, certificate and diploma, NTA L4 hadi 6 na VETA NTA level 1 up 3
hii ni kwa miaka ya kuanzia 2015 up to date , maana uko nyuma vyuo vikuu na collage vilikuwa vinasajiliwa na TCU na baadhi NACTE,
Ila waliamua kutenganisha NACTE ikabaki na elimu ya NTA L4 hadi 6 na usajili wa vyuo vyake plus kozi zote na kuhifadhi matokeo yao na kutoa vyeti kwa vyuo ya afya, mifugo na samaki.harafu TCU ikabaki na elimu ya juu pamoja na kutunza matokeo yao.
Ndo maana saivi kozi zote za afya(diploma, certificate &basic) zipo under nacte wana mtihani mmoja wa kumaliza semester 2
Selection za wanafunzi saivi unaenda chuo husika unaomba isipokuwa vya serikali tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.