SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,858
- 8,248
Bongo una hama kivipi tena wakati kila uchwao mswano tu.
Bongo raha sana,, sihami ng'o!
Na Burundi siendi Ng'o
Bongo una hama kivipi tena wakati kila uchwao mswano tu.
Bongo raha sana,, sihami ng'o!
🤔🤔, basi yawezekana ni mkeya, siyo Mbaya anajitahidi. 🤝Huyo muache kiswahili yake ni mbovu mnoo..amesema yy ni mkenya alielowea Tanzania..
Anayeigiza hapo ni nani? Makonda au huyo mjane?? CHADEMA mmepotezwa mpaka mnachanganyikiwa. Na ubunge ndo hivyo mtausikia tuCCM kwa maigizo bongo movie hawaoni ndanj