tuliambiwa tusizungumzie lile tukio JIONGEZEMOHO ndiyo nani tena?
Upo wapi unatafutwa baba swaleheMsiwaze mimi moho
Sijatekwa ...
Upo wapi unatafutwa baba swalehe
Tangu kutekwa kwa moho!!!!!!??!! Kwani mkuu hujausoma vizuri uzi?Umesema leo ni siku ya tatu tangu kifanyike nini?
Tangu kutekwa kwa moho!!!!!!??!! Kwani mkuu hujausoma vizuri uzi?
Ebu tuwekane sawa, katekwa Moho, au Moo?Tangu kutekwa kwa moho!!!!!!??!! Kwani mkuu hujausoma vizuri uzi?
Duniani paliwahi kuwa na Tawala na Watawala wenye nguvu sana na wengine walithubutu hata kumkana MUNGU lakini sababu ya kiburi chao na kutokutenda katika njia ya HAKI tawala zana na wao pia walionguka.Nadhani wameanza kupokea kupotea machoni kwa Mo, hatujui kama bado yupo hai, ila Mungu ajarie tumpate akiwa hai,
Naona haka ni kamchezo kameanza aisee kuna siku tutakuwa tunajadili kutekwa kwa mwingine, kwasababu ni kama tunayazoea vile,
NdiyoDuniani paliwahi kuwa na Tawala na Watawala wenye nguvu sana na wengine walithubutu hata kumkana MUNGU lakini sababu ya kiburi chao na kutokutenda katika njia ya HAKI tawala zana na wao pia walionguka.
Kwahio hakuna kinachowahi wala kuchelewa chini ya Jua kila jambo lina muda na wakati wake.
Duniani paliwahi kuwa na Tawala na Watawala wenye nguvu sana na wengine walithubutu hata kumkana MUNGU lakini sababu ya kiburi chao na kutokutenda katika njia ya HAKI tawala zana na wao pia walionguka.
Kwahio hakuna kinachowahi wala kuchelewa chini ya Jua kila jambo lina muda na wakati wake.
Mbona Marekani walishatekwa watu kibao, Ujeruman, Ufaransa, Iran, Iraq, Nigeria, SA, DRC,Kenya, Uganda, he mbona hujazungumza kuwa wamezoea kamchezo??? Acha ukuda, na uzandiki. Eti kamchezo, tumia akili kabla ya kupost, tambua kwamba vitendo hivi ni kawaida katika Dunia iliyoumbwa na Mungu, na wala siyo Tanzania kwa Mo na wengine. Acha ujingaNadhani wameanza kupokea kupotea machoni kwa Mo, hatujui kama bado yupo hai, ila Mungu ajarie tumpate akiwa hai,
Naona haka ni kamchezo kameanza aisee kuna siku tutakuwa tunajadili kutekwa kwa mwingine, kwasababu ni kama tunayazoea vile,