Hakuna BungeNimeisikiliza hotuba ya Mh. Lema bungeni kwa mara ya kwanza akichangia bajeti ya ofisi ya waziri mkuu baada ya kutoka kifungoni/mahabusu miezi minne,nimetafakari sana juu ya kupotea au kutekwa kwa watu mbali mbali ambao wanahusishwa na kuikemea serikali.
Hofu yangu imejikita kwenye mambo makuu manne kama ifuatavyo
1) . Usalama wa raia na mali zao upo salama kama inavyobainishwa na katiba ya JM.
2) . Hofu tunayojazwa Watanzania ni kwa mujibu wa sheria au ni utashi wa MTU
3) . Nini kazi ya bunge kama chombo cha uwakilishi kwa wananchi.
4) . Hatima ya uvunjivu huu wa amani ni nini
Nazungumzia usalama ambao umejikita katika kutekeleza haki za msingi za binadamu ambazo kupitia kwayo Tanzania imesaini mkataba wa amani wa Geneva,mkataba unaolinda haki za binadamu zinazozuia mtu kudhalilishwa na kutwezwa utu wake,ambayo haki ipo pia kwenye katiba yetu.
Inapofikia nchi,wananchi wake wanapotezwa/kutekwa ilihali vyombo vya dola vilivyopo chini ya serikali vipo na hakuna kauli ya chombo chochote wala serikali kukemea ugaidi huo juwa kuwa hali ya nchi kiusalama ni tete. Kama hali si tete basi kuna mawili,kama serikali haihusiki basi serikali inawajua wahusika ila inawaogopa.
Haitoshi wabunge tena wa upinzani wakemee bungeni lakini bunge ambalo ni chombo cha utetezi na uwakilishi wa wananchi linyamazie bila kuchukua maamuzi sahihi dhidi ya matukio haya,kisha tuseme nchi iko salama.
Mkuu wa mkoa alipowatuhumu wabunge wanasinzia bunge lote lilizizima hatimaye mkamwita kwenye mahakama yenu,iweje usalama wa raia mnao waongoza upo mashakani lakini bunge lipo kimya,au kutekwa/kupotezwa kwenu kuna maslahi nanyi.
Matukio ya uvunjaji amani yanayoshamiri siku hadi siku ilihalî vyombo vyenye mamlaka na uzuiaji wa matukio hayo vipo chini ya serikali, na kazi ya bunge ni pamoja na kuisimamia serikali,iweje bunge lishindwe kuiwajibisha serikali kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kusimamia haki za usalama wa raia wake,tukasema nchi ipo salama!
Ikiwa bunge linalotunga sheria lakini linaogopa kuitumîa sheria kuibana serikali kuna haja gani ya kuwa nà chombo hicho. Kama limeshindwa hata kuisimamia katiba na kuifanya katiba kitabu cha hadithi za kufikirika,sisi raia tusimamia mamlaka ipi kujitetea juu ya usalama wetu.
Tujitazame tulipojikwaa,tukizoea halo hii nchi hataikalika.
Vyovyote vile iwavyo ktk hypotheses zote hizo serikali inapaswa kujua nini ni nini. Serikali ina vyombo vyote vyenye uwezo wa kupata ukweli kisha ituambie.PART A
Hivi tuweke ushabiki wa kichama pembeni uhusu ROMA.......
Je,ni serikali ndio inahusika juu ya UPOTEVU WAKE???na kama ni serikali ni sababu ipi hasa imefanya serikali ihusike juu ya UPOTEVU WAKE????na kama ni kwa sababu ya mziki wake,je serikali haikuwa na mamlaka ya kuzuia huo wimbo wake usichezwe redioni au ROMA mwenyewe kupewa onyo....na kama kweli ni serikali ndio imehusika juu ya UTEKWAJI wake kwanini still SIMU YAKE ILIENDELEA KUTUMIKA??????huo utakuwa ni uerevu gani wa kipuuzi kwa WATEKAJI wa serikali???????
PART B
Je upande wa pili hauwezi husika juu ya upotevu wa ROMA???na ni kwanini nasema ni upande wa pili INAWEZEKANA WAKAHUSIKA???nasema ni upnde wa pili kwa sababu inawezekana kabsa hawa upande wa pili wakahusika kwa kiasi kikubwa sana ili kujinufaisha wao kisiasa....Kwanini nasema kujinufaisha wao kisiasa....
Nasema hivi nikiwa na maaana ya kwamba WANAWEZA MTEKA ROMA ili kutengeneza tension fulani au kujaribu kuichafua SERIKALI HII KIMATAIFA NA KUFIKIA HATA KUNYIMWA BAADHI YA MISAADA na ambayo mwisho wa siku itaiweka nchi katika wakati mgumu sana na kuwaumiza wanachi wa hali ya chini na kupelekea WANANCHI kuichukia serikali iliyopo MADARAKANI maana hii nayo inawezekana kabsa ikawa ni njia BORA KWA WAO KUJINUFAISHA NA KUPAMBANA NA MAGUFULI maana kaishawashika vibaya mno mpaka sasa hivyo wao kutokuwa na plan B ya kupambna na MAGUFULI itakuwa ni janga sana kwao....NDIO MAANA TUNASEMA INAWEZEKANA KABSA HII TEKA TEKA IKAWA NI PLAN B yao.......
sasa jiulize serikali iliyopo madarakani ikichukiwa hii itakuwa ni faida kwa upande upi????JIBU UNALO MWENYEWE KWA MAONI YANGU hili la ROMA lina ukakasi sana as well as SUALA LA BEN sema tu tatzo kubwa tulilo nalo sisi WATANZANIA tuna mahaba ya KIPUUZI kupita maelezo yaani hatutumii vichwa na bongo zetu kudadavua mambo.....
PART C
Inawezekana ROMA mwenyewe kajiteka kutafuta KIKI au kutafuta HURUMA za mashabiki kwa wimbo wake uo aliokuwa ana rekodi MAANA hakuna kinachoshindikana katika hili.....
kibaya zaidi HUMU NDANI SIKU HIZI kila baya ndani ya NCHI HII anaenyooshewa kidole ni MAGUFULI hivi huyu MAGUFULI mnaemnyooshea kidole yeye haamini kama KUNA MUNGU??mpaka afikie hatua ya kudhuru au kuteka KIJANA wa watu mwenye familia inayo mtegemea???kwani kwenye hii DUNIA WA NGAPI WAMETUKANWA na kwani MAGUFULI yeye ndiye wa kwanza kutukanwa kwenye nchi hii???
KINGNE...kwanini kila BAYA NDANI YA NCHI HII NI CCM????kwani KUNA TOFAUTI GANI KATI YA CHADEMA NA CCM linapokuja suala la uhai wa binadamu????KAMA BAYA LINAWEZA FANYWA NA CCM vipi lisifanywe na CHADEMA?????......Kama ROMA katekwa na CCM kulinda maslahi ya CCM vipi SAANANE asidhuriwe na CHADEMA kukinufaisha CHAMA???????
KIBAYA ZAIDI UNAWEZA KUTA HATA HUO WIMBO alikuwa anataka REKODI ROMA kawa pressurised na hao CHADEMA kumbe behind the scene wana lao jambo kama ambavyo SAANANE alivyokuwa akitumiwa na CDM kutukana RAIS kumbe behind the scene wamemuandalia jambo........HAKISHINDIKANI KITU.....
Acheeni upuuzi hii nchi yetu sote
Kwahiyo ww ulitaka tufanye nini?Hata baada ya kuendeleza huu ujinga wa kujipoteza na kujiteka ulioanzishwa na Tundu Lisu, mwenzao kafaidika na kupewa ulaji tls, sasa nyie wengine mnaotumika kujiteka mnapata nini?
Punguza utoto !!!! Tuhuma sisizo na ushahidi wowote ni majungu na umbeya wa kitoto.Hata baada ya kuendeleza huu ujinga wa kujipoteza na kujiteka ulioanzishwa na Tundu Lisu, mwenzao kafaidika na kupewa ulaji tls, sasa nyie wengine mnaotumika kujiteka mnapata nini?
Hata baada ya kuendeleza huu ujinga wa kujipoteza na kujiteka ulioanzishwa na Tundu Lisu, mwenzao kafaidika na kupewa ulaji tls, sasa nyie wengine mnaotumika kujiteka mnapata nini?
Wewe ummefaidika na nn kutetea yasiyotetewa. Akili finyu kama kivhwa chakoHata baada ya kuendeleza huu ujinga wa kujipoteza na kujiteka ulioanzishwa na Tundu Lisu, mwenzao kafaidika na kupewa ulaji tls, sasa nyie wengine mnaotumika kujiteka mnapata nini?
PART A
Hivi tuweke ushabiki wa kichama pembeni uhusu ROMA.......
Je,ni serikali ndio inahusika juu ya UPOTEVU WAKE???na kama ni serikali ni sababu ipi hasa imefanya serikali ihusike juu ya UPOTEVU WAKE????na kama ni kwa sababu ya mziki wake,je serikali haikuwa na mamlaka ya kuzuia huo wimbo wake usichezwe redioni au ROMA mwenyewe kupewa onyo....na kama kweli ni serikali ndio imehusika juu ya UTEKWAJI wake kwanini still SIMU YAKE ILIENDELEA KUTUMIKA??????huo utakuwa ni uerevu gani wa kipuuzi kwa WATEKAJI wa serikali???????
PART B
Je upande wa pili hauwezi husika juu ya upotevu wa ROMA???na ni kwanini nasema ni upande wa pili INAWEZEKANA WAKAHUSIKA???nasema ni upnde wa pili kwa sababu inawezekana kabsa hawa upande wa pili wakahusika kwa kiasi kikubwa sana ili kujinufaisha wao kisiasa....Kwanini nasema kujinufaisha wao kisiasa....
Nasema hivi nikiwa na maaana ya kwamba WANAWEZA MTEKA ROMA ili kutengeneza tension fulani au kujaribu kuichafua SERIKALI HII KIMATAIFA NA KUFIKIA HATA KUNYIMWA BAADHI YA MISAADA na ambayo mwisho wa siku itaiweka nchi katika wakati mgumu sana na kuwaumiza wanachi wa hali ya chini na kupelekea WANANCHI kuichukia serikali iliyopo MADARAKANI maana hii nayo inawezekana kabsa ikawa ni njia BORA KWA WAO KUJINUFAISHA NA KUPAMBANA NA MAGUFULI maana kaishawashika vibaya mno mpaka sasa hivyo wao kutokuwa na plan B ya kupambna na MAGUFULI itakuwa ni janga sana kwao....NDIO MAANA TUNASEMA INAWEZEKANA KABSA HII TEKA TEKA IKAWA NI PLAN B yao.......
sasa jiulize serikali iliyopo madarakani ikichukiwa hii itakuwa ni faida kwa upande upi????JIBU UNALO MWENYEWE KWA MAONI YANGU hili la ROMA lina ukakasi sana as well as SUALA LA BEN sema tu tatzo kubwa tulilo nalo sisi WATANZANIA tuna mahaba ya KIPUUZI kupita maelezo yaani hatutumii vichwa na bongo zetu kudadavua mambo.....
PART C
Inawezekana ROMA mwenyewe kajiteka kutafuta KIKI au kutafuta HURUMA za mashabiki kwa wimbo wake uo aliokuwa ana rekodi MAANA hakuna kinachoshindikana katika hili.....
kibaya zaidi HUMU NDANI SIKU HIZI kila baya ndani ya NCHI HII anaenyooshewa kidole ni MAGUFULI hivi huyu MAGUFULI mnaemnyooshea kidole yeye haamini kama KUNA MUNGU??mpaka afikie hatua ya kudhuru au kuteka KIJANA wa watu mwenye familia inayo mtegemea???kwani kwenye hii DUNIA WA NGAPI WAMETUKANWA na kwani MAGUFULI yeye ndiye wa kwanza kutukanwa kwenye nchi hii???
KINGNE...kwanini kila BAYA NDANI YA NCHI HII NI CCM????kwani KUNA TOFAUTI GANI KATI YA CHADEMA NA CCM linapokuja suala la uhai wa binadamu????KAMA BAYA LINAWEZA FANYWA NA CCM vipi lisifanywe na CHADEMA?????......Kama ROMA katekwa na CCM kulinda maslahi ya CCM vipi SAANANE asidhuriwe na CHADEMA kukinufaisha CHAMA???????
KIBAYA ZAIDI UNAWEZA KUTA HATA HUO WIMBO alikuwa anataka REKODI ROMA kawa pressurised na hao CHADEMA kumbe behind the scene wana lao jambo kama ambavyo SAANANE alivyokuwa akitumiwa na CDM kutukana RAIS kumbe behind the scene wamemuandalia jambo........HAKISHINDIKANI KITU.....
Acheeni upuuzi hii nchi yetu sote