Wewe kongosho wewe, hivi siku hizi unapuliza kitu cha wapi lolammege hausi gelo kama yupo
Wewe kongosho wewe, hivi siku hizi unapuliza kitu cha wapi lolammege hausi gelo kama yupo
Kuna jamaa alikuwa na kesi mahakamani,na wakili wake alimshauri kwamba ategemee fine au akishindwa
kulipa atapelekwa jela,na hukumu imebaki siku 2.
Jamaa alikuwa hana hela,akamkopa boss wake na boss akasema hana.
Alipo rudi nyumbani alimweleza mkewe na mkewe akasema atajaribu kutafuta.
Kesho yake mkewe alipata hela na fine ikalipwa.
Usiku wake jamaa hakupata usingizi,akachungulia simu ya mke wake.
Akaona sms inasema,nisipo kusaidia wewe mpenzi nitamsaidia nani?
Namba ni ya boss wake na yeye ni dereva.
Mke wake alikuwa hajui mumewe anamwendesha nani na boss inasemekana hajui kama ni mke wa dereva wake.
Kama wewe je uta muuliza mkewe au boss wako?
Au uta endelea kufanya kazi au utaacha?
Pagumu hapo.