MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
200-300 dollars per gram360000/=
inatumika kutengeneza Atomic bomb
aina za mercury
Silver Mercury
Red Mercury
Metallic Mercury
Hydrargyrum Mercury
Dimethyl Mercury
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
200-300 dollars per gram360000/=
200-300 dollars per gram
inatumika kutengeneza Atomic bomb
aina za mercury
Silver Mercury
Red Mercury
Metallic Mercury
Hydrargyrum Mercury
Dimethyl Mercury
Mzee ushapigwa mercury hainati inakuwa kama round ila ukigusa unaunguzwa/hapana ndo nataka kujua ili nisitapeliwe..kama una utaalam nijuze
330000-400000 KWA 1KILOGRAM
Samahani ndugu ni spinal au?Ndugu nijuze bei ya ruby kwa grm
Ni aina ipi uliyonayo maana kuna ruby kama Ruby na spinal(ruby spinal)kama hizo picha hapo juu likinipia kwa upande wa ruby spinal kuna red,pink nkWenye uelewa tusaidieni basi mbona kimya
Ruby spinal (red)Ni aina ipi uliyonayo maana kuna ruby kama Ruby na spinal(ruby spinal)kama hizo picha hapo juu likinipia kwa upande wa ruby spinal kuna red,pink nk
Je, IPI kati ya hizo unataka kujua?
Ruby spinal (red)
Mambo vp hyo mercury ya kaka yako ni ya kiwandani ?Nina brother wangu ana red mercury zaidi ya gram 100 yenyewe ni nzitonzito na ukiiweka kwenye maji inaweka yigololi gololi na hata ikimiminika chini hainasi mchanga ni nzitonzito nyekundu
Nipo vuzuri lakini bei ni makubaliabo baada ya kujua hardness ya jiwe lenyeweSoko lake likoje ndugu
Pili ukubwa wa jiwe nao maana kuna kitu unatakiwa kujua kuwa ukiwa na vijiw via gram mojamoja vitano ni tofauti na ukiwa na jiwe moja la gram 5Soko lake likoje ndugu
Pili ukubwa wa jiwe nao maana kuna kitu unatakiwa kujua kuwa ukiwa na vijiw via gram mojamoja vitano ni tofauti na ukiwa na jiwe moja la gram 5
Bora kubwa moja...kama lipo maana linapekekea kuwa na uwezo wa kupata hela nyingi rafikiKipi bora vijiwe vingivingi au moja nisaidie