Hata kama ni kweli... sometimes wanawake wenyewe ndio tupo responsible kupelekea kuchezewa. Na siku hizi ngoma draw hata mabinti wanachezea wanaume zao. Ni kuomba tu Mungu upate mtu alo genuine.
wakati mtu anakuchezea wewe unafanya nini? Wanawake wanatakiwa wawe responsible na maisha yao la sivyo wataishia kulalama, lets say mwanaume ameoa anatembea na mwanamke bado anamdanganya atamuacha mkewe mwanamke anakubali akija kushtuka atasema amechezewa?
ukisoma mazingira na alama za nyakati huwezi kutoa malalamiko kwamba unachezewa unless you are too naive to get yourself involved in matters of the heart...
Kila mtu mwenye utashi yuko responsible kwa maamuzi yake, kutest na kusoma kama mtu anakudanganya au ni mkweli, sasa wewe ukisema unachezewa kwani ulishikiwa bunduki ukapelekwa huko mafichoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.